Northman
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 1,587
- 2,518
Mbona hakuna taarifa ya namna hioMechi na city kuhairishwa pia
Tatzo cyo zyche mkuuu tatzo kocha hakun hajui mbinu mpuuuzTangu Ziyech aumie tumecheza mechi 5 na kushinda moja tu
Flops??



























Hii ligi ni ya maajabu msimu huu, kila timu inapoteza ovyo points.
Ikitokea kati ya timu sita za juu ikacheza game 7 mfululizo kwa kushinda, itakuwa na nafasi kubwa ya ubingwa.
Sisi ni mbwa