Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
Tuna timu nzuri sana ila hatuna kocha mzuri, hizo mechi ni kubwa kuliko uwezo wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lenu nililoliona jana ni intensity, hakuna kabisa. Lampard needs to work on that, mlikuwa mna Kim bila hovyo hovyo tu uwanjani

