Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
Acha mahaba wewe. Mpira furaha!Mungu ibariki Chelsea. Point 3 zipatikane Leo 🙏
Hii team ikiharibu uwa naumia sana tofauti na ile team yangu B ' mchepu...
Acha mahaba wewe. Mpira furaha!Mungu ibariki Chelsea. Point 3 zipatikane Leo 🙏
Hii team ikiharibu uwa naumia sana tofauti na ile team yangu B ' mchepu...
Dua la kuku halifikagi angani. Leo kaka mkubwa wa AV hayupo!Kila la kheri Aston Villa
Nenden mkavunje daraja Kama bwana alivowatuma
Amina
Likifika goal la pili, uisime tena comment yanguShida ya kikosi cha leo ni nini?
Unaleta siasa kwenye michezo sasa. Na wakishinda je?Likifika goal la pili, uisime tena comment yangu
Usipo elewa, usije kuwachapa wanao kisa wanafanya vibaya kimasomo
Leo Chelsea hashindiUnaleta siasa kwenye michezo sasa. Na wakishinda je?
Hapana, mpira furaha pale tu team yako ikipata matokeo mazuri.Acha mahaba wewe. Mpira furaha!
sawa sawaLeo Chelsea hashindi
Ngoja tuone ndugu sheikh yahyaHiki kikosi cha Villa nina imani na Martinez kuliko wote.
Babu yenu thiago kala mkeka.
Mna asilimia 40 za kushinda kwa kumuweka Kante pembeni. 15 suluhu na 45 kupigwa
Giroud ndio amefunga tayariMechi ya sasa mnafungwa na AVL, hamuoneshi u-chelsea wenu hapa.
La kwanza tayari. Likifika la pili uje ufafanue!Likifika goal la pili, uisime tena comment yangu
Usipo elewa, usije kuwachapa wanao kisa wanafanya vibaya kimasomo
Umelala?Aston Villa kwa mkopo wa muda mfupi.
Ebu acha fujoMechi ya sasa mnafungwa na AVL, hamuoneshi u-chelsea wenu hapa.
Subiria game liishe ndo husema hivyoLeo Chelsea hashindi