Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Majeruhi wangapi? Zaidi ya Ziyech?. Ina maana timu haiwezi kuperform vizuri kwa kumkosa mchezaji mmoja? Ina maana Ziyech akipata injury miezi 2 tutafungwa mechi zote?

Labda useme Lampard anategemea uwezo wa wachezaji kuliko mbinu zake.
Wakati anaipeleka timu top four wachezaji gani alikua akiwategemea?

Odoi siyo majeruhi?
 
Loserkuku wanamajeruhi wangapi na bado kila siku wanacheza vizuri tena sana tena wanapata ushindi.
Bob hebu punguza hasira.

Liva kwa misimu mitatu in a row ina kikosi kimoja tu.

Katika hicho kikosi chao najua majeruhi ni beki na some players ambao walikua ingizo jipya labda unitajie wengine.

Liva hawategemei kiungo kuanzisha mshambulizi badala yake wao kiungo ni kwa ajili ya kukaba na kuwapa mipira fullbacks au rwf na lwf mane na salah. Fullbacks ili kutoa assisst na rwf na lwf kwaajili ya kuscore.

Yaani chelsea haiwezi jifananisha uchezaji na liver
 
Bob hebu punguza hasira.

Liva kwa misimu mitatu in a row ina kikosi kimoja tu.

Katika hicho kikosi chao najua majeruhi ni beki na some players ambao walikua ingizo jipya labda unitajie wengine.

Liva hawategemei kiungo kuanzisha mshambulizi badala yake wao kiungo ni kwa ajili ya kukaba na kuwapa mipira fullbacks au rwf na lwf mane na salah. Fullbacks ili kutoa assisst na rwf na lwf kwaajili ya kuscore.

Yaani chelsea haiwezi jifananisha uchezaji na liver
Chelsea ni arsenal ya blue
 
Sema jana hukuangalia mechi 1st half ball position Chelsea 70 ubunifu na speed vilikosekana tungemaliza mechi mapema.

Siku zote navyoamini kocha anapofanya sub ni kubadilisha mbinu au mfumo au kuboresha uchezaji kuongeza speed na ubunifu lakini sub za jana ndio kwanza timu ililemewa
Baba mbona unazunguka. Odoi siyo majeruhi?
 
Adjustments.jpg
 
1 Ziyech = 35 Odoi
Hahaha ila wewe jamaa bwana.

Unakumbuka game na Bayern lile goli alilofunga Odoi? Ziyech anaweza kile kitu?

Bayern, timu yenye quality kila namba uwanjani wanamtaka Odoi tangu msimu uliopita, tena huku majeruhi, umewahi hata sikia wanamuulizia ziyech?

So haukusema kama odoi anaumwa kwakua ni kiazi au kwakua haujui? Either way mi naona niishie hapa. Nikiswitch on plastic mode nitarudi.
 
Mashabiki wa chelsea tulishirikiana kumshangaa ole kumpa ukapteni mgeni maguire ambaye ana msimu mmoja. Nyinyi kapten kawa thiago mwenye muda hauzidi miezi mitatu.
 
Punguza ukali.

Kama unaona hauwezi kujadili logic subiri hasira zipungue chief
Mim ni mshabiki wa chelsea ila katika kitu nilichokigundua Mashabiki wengi wa chelsea wanashindwa kufanya argument kwa logic na wanaishia kutukana
Huwa napenda sana thread za liverpool na man utd kule huwezi kuta watu wanatukana kama humu
 
Sema jana hukuangalia mechi 1st half ball position Chelsea 70 ubunifu na speed vilikosekana tungemaliza mechi mapema.

Siku zote navyoamini kocha anapofanya sub ni kubadilisha mbinu au mfumo au kuboresha uchezaji kuongeza speed na ubunifu lakini sub za jana ndio kwanza timu ililemewa
Jana tim nzima imecheza hovyo hata baada ya sub hakuna chochote kilichokuwa kinafanyika

Sub zingeonesha uhai hapo ndio tungesema y hakumuanzisha flan ila hata hizo sub zilizoingia hkuna chochote kilichofanyika
 
Mim ni mshabiki wa chelsea ila katika kitu nilichokigundua Mashabiki wengi wa chelsea wanashindwa kufanya argument kwa logic na wanaishia kutukana
Huwa napenda sana thread za liverpool na man utd kule huwezi kuta watu wanatukana kama humu
Ukiingia uzi wowote wa mpira ukakuta matusi ni shabiki wa chelsea ndiye atakua anatukana watu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom