Umemjibu vizur sana dah!! Hahahaha........Uko sahihi kabisa mkuu. Excellent
Umemjibu vizur sana dah!! Hahahaha........Uko sahihi kabisa mkuu. Excellent
Lampard bado hata hajielewi, imagine unamuingiza Giroud ambae ni mzur kwenye mipira ya juu then unamtoa zeyech ambae anaprovide mipira mizuri ya cross.Na hatuwezi chukua ubingwa bila kuzifunga timu kubwa, mwisho wa siku Lampard anafurahia sare
Mkuu ulisha wahi kuwa mwalimu wa mpira ?/coach
Bado huwa sina imani kabisa na staili ya mipira anayoicheza nyuma Zuma, jana Spurs wangetutandika 1 takatifu la kudumu ikiwa wangekuwa makini kwa ule mpira aliompasia adui na kukosa goli la wazi kabisa.Japo mimi simuamini sana Lampard kimbinu lakini kwa game ya jana huwezi kumlaumu sana maana tungekurupuka tu Mechi ingeisha mapema, kikubwa sasa hivi defensive pattern imeanza imarika hii ni ishara kwamba kocha anaiprove licha ya mapungufu yake
Ubingwa kwa kocha gani? Lampard?
Hiv lampard ndio aruhusiwi kudraw au kufungwa ?Ubingwa kwa kocha gani? Lampard?
Mm pia naona lampard ndo ataharibu systemUbingwa kwa kocha gani? Lampard?
Hata tukishinda mi bado kuna kitu bado Lampard sijakiona, unaweza ukafungwa lakin bado ukawa na imani na kocha ila lampard sio kocha yule ni dalali wa akina Tammy.Hiv lampard ndio aruhusiwi kudraw au kufungwa ?
Tukishinda huwa pako kimya sana hunu ila siku tukidraw au tukafungwa ndio issue za lampard hatufai ndio zinakuja
Zouma anacheza vizuri na ni mmoja wa defender makini sana wa Chelsea. Kilichotokea jana ni aliyekuwa anapasiwa alipoteza mawasiliano na Zouma kwa kurudi nyuma ghafla kwa hiyo kwa vile pasi zilikuwa za kasi ikamkuta hayupo oponent akawahi. Defender kufanya makosa sio dhambi, kinachopimwa ni frequencies za makosa na je makosa ilpelekea kufungwa. Kosa lile moja la Zouma ukilinganisha na makosa aliyokuwa akifanya Rudiger, Christensen na Tomori na ndio maana tulikuwa tukifungwa kirahisi sana. Silva sio kwamba naye hafanyi makosa, ila frequency ni ndogo sana ambayo bado inamfanya kuwa CB mzuri. Zouma kaimprove sana ukimtofautisha na msimu uliopita mwanzoni.Bado huwa sina imani kabisa na staili ya mipira anayoicheza nyuma Zuma, jana Spurs wangetutandika 1 takatifu la kudumu ikiwa wangekuwa makini kwa ule mpira aliompasia adui na kukosa goli la wazi kabisa.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisa Zuma ameimprove sana msimu huuZouma anacheza vizuri na ni mmoja wa defender makini sana wa Chelsea. Kilichotokea jana ni aliyekuwa anapasiwa alipoteza mawasiliano na Zouma kwa kurudi nyuma ghafla kwa hiyo kwa vile pasi zilikuwa za kasi ikamkuta hayupo oponent akawahi. Defender kufanya makosa sio dhambi, kinachopimwa ni frequencies za makosa na je makosa ilpelekea kufungwa. Kosa lile moja la Zouma ukilinganisha na makosa aliyokuwa akifanya Rudiger, Christensen na Tomori na ndio maana tulikuwa tukifungwa kirahisi sana. Silva sio kwamba naye hafanyi makosa, ila frequency ni ndogo sana ambayo bado inamfanya kuwa CB mzuri. Zouma kaimprove sana ukimtofautisha na msimu uliopita mwanzoni.
Vitu viwili au vitau nampenda Zouma
Baadhi ya matatizo yake
- Anatoa pasi kwa haraka
- Anatumia vyema urefu wake kuwahi mipira ya juu.
- Ana kasi kwenye kutackle
Sometime anakuwa hana concertation uwanjani ila mara chache sana
hata mikeka inahusika, inachanika kwa sababu za uzembe wa kochaHiv lampard ndio aruhusiwi kudraw au kufungwa ?
Tukishinda huwa pako kimya sana hunu ila siku tukidraw au tukafungwa ndio issue za lampard hatufai ndio zinakuja
Hata Odoi Lampard ame confirmLeo Gilmour atakuwepo kwenye benchi au uwanjani dhidi ya Sevilla
Daah watu hata hawana habari na Keppa
Kepa tutamuona wiki ijayo dhidi ya krasnodarDaah watu hata hawana habari na Keppa




Unaweza shangaa nayo hiyo anapangwa Caballero😂😂Kepa tutamuona wiki ijayo dhidi ya krasnodar![]()