OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,960
- 25,311
Angalia wewe leo Arse8 anakufanya nini..Usijitambe kijana, hicho ni kibonde tu.
Angalia wewe leo Arse8 anakufanya nini..Usijitambe kijana, hicho ni kibonde tu.
Angalia wewe leo Arse8 anakufanya nini..
Mbele ya Arteta pale kazi itakuwa kubwa. Labda Rashid Rashid Makame awe kwenye form nzuriUmecheza na timu ina buruza mkia kwenye msimamo wa ligi alafu unajitamba.
Ars8 leo tunamkojoza nyingi nyingi hata wewe unajua.
Mbele ya Arteta pale kazi itakuwa kubwa. Labda Rashid Rashid Makame awe kwenye form nzuri
Tena beki Luiz na kipa Leno ..akipiga imooo😂😂😂Makame lazima afanye yake.
Ile penalti ya jana Salah kajiangusha na refa na VAR hawakuliona hiloKwa mbinde au kwa kupewa penalt?
Mkuu mechi moja tu ushafanya hitimisho tayari??Lampard ameanza kugawa dozi nzito nitawaambia nini watu niliowaaminisha Lampard hatoboi December.
Ila Mendy, Zouma, Thiago wameleta mapinduzi makubwa sana kwenye safu ya ulinzi. Well done boys.
Lampard bado yupo yupo sana.
Martial ana goal 1 Zouma ana goals 3Umecheza na timu ina buruza mkia kwenye msimamo wa ligi alafu unajitamba.
Ars8 leo tunamkojoza nyingi nyingi hata wewe unajua.
Martial ana goal 1 Zouma ana goals 3
Kwan uongo kwel una roho mbayaMamluki tunajiandaa kwa Online Protest kushindikiza Kepa arudishwe Golini, Yani mutoe Cleansheet 3 halafu tuwaangalie tu??
Tutajifanya sisi ni washabiki wa Chelsea na tunaumizwa na Hela nyingi alizonunuliwa Kepa kwahiyo asiekwe Bench.
Yani tutatumia japo ubaguzi wa Rangi dhidi ya Mendy Alimradi tu Kepa arudi golini ili murudi kwenye Shida.
Haiwezekani muanze kucheka kama hivi.
Yani Nina Roho mbaya vibaya sana ili muharibikiwe.
Penalt ya mezani alifunga salah.Kwani Diego jota kafunga kwa penati?
Marefa wa england sijui wanakwama wapi.Ile penalti ya jana Salah kajiangusha na refa na VAR hawakuliona hilo
Tena leo Callum Wilson kajitengenezea penalti na refa kaingia mkengeMarefa wa england sijui wanakwama wapi.
Ngoja tuone game zinazofataKwa nini Lampard asimuache Kante kwenye CDM ili aendelee kukata umeme
Naunga mkono hojaBring Back Our Kepa
Lamp you must consider the value for Money.
To let £75m to sit on the bench in unacceptable.
#KepaLifeMatter