naona kampen yako imeanza sasa😂😂😂Bring Back Our Kepa
Lamp you must consider the value for Money.
To let £75m to sit on the bench in unacceptable.
#KepaLifeMatter
Bring back Adrian, tulizoea kutumbukiza magoli hadi 7 mnatunyima haki yetu, mbona Aston Villa mlimpa?Bring Back Our Kepa
Lamp you must consider the value for Money.
To let £75m to sit on the bench in unacceptable.
#KepaLifeMatter
Labda hatobadilika maana mitandaon naona kasema anaimani amepata perfect midfield comb ya kante, mount n havertz.....Kwa nini Lampard asimuache Kante kwenye CDM ili aendelee kukata umeme
Hiyo safi Mount anafaa zaidi kucheza midfielder kuliko Winga.Labda hatobadilika maana mitandaon naona kasema anaimani amepata perfect midfield comb ya kante, mount n havertz.....
Wale wote ambao ni washabiki lialia wa chelsea yetu na kipa wetu ghali kabisa ulimwenguni Kepa, tukumbuke hashtag ni #KLM
yaani #kepa_life_matter
😂😂😂Bring back Adrian, tulizoea kutumbukiza magoli hadi 7 mnatunyima haki yetu, mbona Aston Villa mlimpa?
Twanga hashtag wewe #KepaLifeMatternaona kampen yako imeanza sasa😂😂😂
Siku tukifungwa watu watakuja hapa huyu mount wa nini wakat kova yupoHiyo safi Mount anafaa zaidi kucheza midfielder kuliko Winga.



Tunakupa kepa bure january ukitaka unalingine
"Tuombe tu kina ziyech wasiumie asije akampanga mount winger huku natural wingers kama odoi benchi"Hiyo safi Mount anafaa zaidi kucheza midfielder kuliko winga
Subiri Honeymoon ya Mendy iishe ,Bring Back Our Kepa
Lamp you must consider the value for Money.
To let £75m sit on the bench is unacceptable.
#KepaLifeMatter