Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1st Chelsea goalkeeper since peter cech in 2004 to start with 3 consecutive premier league clean sheets
IMG_16041667993111389.jpg
 
Sisi hatuna habari nao maana tuna vpnenika hapa ni mwendo wa kupiga kimya kimya watashangaa tuko fainali 😀😀😀😀

Natumaini uko salama Sister..
Niko poa
Nilipamiss humu
Jf ilidisapper tena yan ndiyo imerudi sahivi


3-0 🔥🔥🔥
 
Lampard ameanza kugawa dozi nzito nitawaambia nini watu niliowaaminisha Lampard hatoboi December.

Ila Mendy, Zouma, Thiago wameleta mapinduzi makubwa sana kwenye safu ya ulinzi. Well done boys.

Lampard bado yupo yupo sana.
 
Lampard ameanza kugawa dozi nzito nitawaambia nini watu niliowaaminisha Lampard hatoboi December.

Ila Mendy, Zouma, Thiago wameleta mapinduzi makubwa sana kwenye safu ya ulinzi. Well done boys.

Lampard bado yupo yupo sana.
Unaongea bado yupo yupo kisa tumemfunga burnley, kweli??
Nikiangalia kw mechi y jana bado mapungufu ni mengi, ni vile burnley walikua hawajielewi. Bado Lampard sio kocha.
 
Lampard ameanza kugawa dozi nzito nitawaambia nini watu niliowaaminisha Lampard hatoboi December.

Ila Mendy, Zouma, Thiago wameleta mapinduzi makubwa sana kwenye safu ya ulinzi. Well done boys.

Lampard bado yupo yupo sana.
Mukifungwa kidogo tu Lampard out.
Ushabiki wa kibongo munaupeleka mpaka ulaya, bila kujua uchawi hauvuki mto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom