Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Magoli matatu ya Ujerumani yalikuwa hivi
  1. Timo Werner Assists ya Havertz
  2. Havertz solo goal
  3. Serge Gnarby Assists Werner
Kwa maneno mengine magoli yote matatu, Chelsea forward wamehusika
 
Magoli matatu ya Ujerumani yalikuwa hivi
  1. Timo Werner Assists ya Havertz
  2. Havertz solo goal
  3. Serge Gnarby Assists Werner
Kwa maneno mengine magoli yote matatu, Chelsea forward wamehusika
Kai leo alikuwa anatokea pembeni

Hii kitu angekuwa amefanya lamps watu wengi wangeongea
 
Itamchukua muda mrefu Rudiger kurudi kwenye first team ya Lampard,
Kwenye national team, Rudiger kaonyesha bado hana concertation anapokuwa hana mpira. Poor marking anakuja kushtuka magoli yameshatinga nyavuni
Wakati vijana wa Chelsea kule mbele (Timo na Kai) wamefanya kweli, huku nyuma Rudiger anashindwa kuelewana na CB mwenzako Ginter na kuachia nafasi kubwa kwa Suitzeland kufanya wanavyotaka. Yaani hadi akina Xhaka na Shaqiri wanatamba mbele ya akina Kroos
  1. Goli la kwanza la Suit baada ya kuondoa mpira wa kona Rudiger anaacha kumfanyia marking mfungaji na anafunga kwa urahisi
  2. Goli la pili baada ya mpira mbovu kutoka kwa Kroos, tena Rudiger yuko nje ya position na kurahisisha goli naman hiyo, very simply
  3. Goli la tatu mashabulizi yanatokea kulia upande wa Rudiger pamoja na kipa kujitahidi kuzia, mfun gaji anaachiwa nafasi ya kushoot anavyotaka
 
Itamchukua muda mrefu Rudiger kurudi kwenye first team ya Lampard,
Kwenye national team, Rudiger kaonyesha bado hana concertation anapokuwa hana mpira. Poor marking anakuja kushtuka magoli yameshatinga nyavuni
Wakati vijana wa Chelsea kule mbele (Timo na Kai) wamefanya kweli, huku nyuma Rudiger anashindwa kuelewana na CB mwenzako Ginter na kuachia nafasi kubwa kwa Suitzeland kufanya wanavyotaka. Yaani hadi akina Xhaka na Shaqiri wanatamba mbele ya akina Kroos
  1. Goli la kwanza la Suit baada ya kuondoa mpira wa kona Rudiger anaacha kumfanyia marking mfungaji na anafunga kwa urahisi
  2. Goli la pili baada ya mpira mbovu kutoka kwa Kroos, tena Rudiger yuko nje ya position na kurahisisha goli naman hiyo, very simply
  3. Goli la tatu mashabulizi yanatokea kulia upande wa Rudiger pamoja na kipa kujitahidi kuzia, mfun gaji anaachiwa nafasi ya kushoot anavyotaka
Akiendelea kupata mechi mbili tatu naamini atatulia zaidi. Naona bado ana wenge pamoja na kuaminiwa na Low though kwa Lampard itamuwia vigumu kuja kuanza moja kwa moja. Nawaona Zouma na Silva wakiendelea kucheza pamoja.
 
Wewe ndugu utakua mshamba sana. Labda ni kwambie kwa ufupi nina jezi ya Chelsea, Everton, Leicester, Liver, Yanga, Roma, Madrid. Jiulize tuko wangapi tunaonunua jezi tofauti tofauti kama mimi.

Hizi mada za mashabiki tukianzisha huwa mnakimbia wenyewe pamoja na kuwaletea sources zote. Inatosha mimi nimechoka
Hoja yako ni nini hapo? Mbona hueleweki unasimamia wapi? Unakumbuka mfano huu muliukataakipindi tunajadili masuala ya fan base! Mliposema chelsea ina mashabiki wengi kuliko Arsenal na mukitumia kigezo cha mitandao ya kijamii!
Nikakataa kwasababu hata mimi nimeifollow Chelsea, Liverpool, na Manchester united lengo likiwa ni kupata habari japo sishabikii timu hizo, lakini nimeongeza idadi ya followers,

Hoja hizi zina madhaifu

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
pretend wewe basi maana Drogba ana EPL 4 Henry anazo 2 naona hili hili hukuliona katika comparison zako.

Tupretend wote(mimi na wewe) Drogba anazo 2 nayeye hizo 2 nyingine pretend ni za kuokota. Naomba tusizungumzie FA Cup tupretend walikua hawashiriki
Kumfananisha Drogba na Henry ni kumdhalilisha Henry,

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hadi mwezi July 2020 hizi timu 5 bora ndizo zinazoongoza kwa mashabiki duniani , kama timu yako haipo hapo kachongeni midoli itaongeza namba
  1. Real Madrid – 225m

  2. Barcelona – 217m

  3. Manchester United – 127.5m

  4. Juventus – 83.8m

  5. Chelsea – 82.2m

Kigezo social networks

Takataka tu hii

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Timo Werner adai alipokuwa mtoto na mpaka anakuwa hakuwahi kuziona timu nyingi za EPL kwa sababu baadhi aliziona kwenye UEFA Championship. Anadai timu kama Chelsea na Man United ndizo mara nyingi alikuwa akiziona na kwa hiyo anawahusudu sana akina Lampard, Drogba, Ashley Cole na Petr Cech
 
Timo Werner adai alipokuwa mtoto na mpaka anakuwa hakuwahi kuziona timu nyingi za EPL kwa sababu baadhi aliziona kwenye UEFA Championship. Anadai timu kama Chelsea na Man United ndizo mara nyingi alikuwa akiziona na kwa hiyo anawahusudu sana akina Lampard, Drogba, Ashley Cole na Petr Cech
Vichekesho kama hivi tunabonyeza ngapi?

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Chelsea waandaa kumshangaza Jorginho kwa mkataba mpya baada ya Jorginho kukataa ofa ya kuhamia Arsenali
Acha kuchekesha watu, hana jeuri ya kuikataa Arsenal huyo, tulikuwa na na mpango na PARTEY sio huyo, una partey, joginho anacheza wapi?
JamiiForums-796509309.jpg


Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hoja yako ni nini hapo? Mbona hueleweki unasimamia wapi? Unakumbuka mfano huu muliukataakipindi tunajadili masuala ya fan base! Mliposema chelsea ina mashabiki wengi kuliko Arsenal na mukitumia kigezo cha mitandao ya kijamii!
Nikakataa kwasababu hata mimi nimeifollow Chelsea, Liverpool, na Manchester united lengo likiwa ni kupata habari japo sishabikii timu hizo, lakini nimeongeza idadi ya followers,

Hoja hizi zina madhaifu

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe ndio unatakiwa umkosoe menzieo aliyesema Arsenal ndio imeongoza kwa uuzaji wa jersey nami nikamjibu hivyo.
 
Mason Mount kaanza kwenye kikosi cha England dhida ya Denmark ambayo hata Christensen naye kaanza.

Jorginho naye kaanza kikosi cha Italy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom