Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Top 10 most valuable clubs in the world

1. Liverpool (£991.08m)

2. Manchester City (£971.64m)


3. Barcelona (£790.65m)

4. Bayern Munich £782.06m

5. Paris Saint-Germain £772.88m

6. Real Madrid £769.50m

7. Chelsea £760.41m

8. Manchester United £719.87m


9. Atletico Madrid £661.95m

10. Tottenham £660.20m
 
Top 10 most valuable clubs in the world

1. Liverpool (£991.08m)

2. Manchester City (£971.64m)


3. Barcelona (£790.65m)

4. Bayern Munich £782.06m

5. Paris Saint-Germain £772.88m

6. Real Madrid £769.50m

7. Chelsea £760.41m

8. Manchester United £719.87m


9. Atletico Madrid £661.95m

10. Tottenham £660.20m
lembu jinsi nilivyoisikiliza press conference ya Lampard game ya leo tutegemee Mount kuanza
 
lembu jinsi nilivyoisikiliza press conference ya Lampard game ya leo tutegemee Mount kuanza
My Prediction today
1602917956641.png
 
lembu jinsi nilivyoisikiliza press conference ya Lampard game ya leo tutegemee Mount kuanza
Hakuna shabiki asiyependa Mount aanze, yuko kwenye form
Asipofunga anaasist na asipoassist anaanzisha move itakayozaa goli. Hata kwenye timu ya taifa kaonyesha kuwa anaweza kufanya hivyo
Hata hivyo squad ya Chelsea inaanza taratibu kuwa pana. Karibu wote wanaokaa benchi wakianza ni sawa tu. Odoi yuko onfire, jorginho naona anaanza kuwa kwenye form. Strikers wote wawili, Giroud na Tammy wako vizuri. Ambaoi bado hawako vizuri ni Tomori na Rudiger, still wana silly mistakes zisizotakiwa wakati wa kujilinda
 
Odoi akimaliza huu msimu akiwa na mechi za kutosha, na bila majeruhi, msimu ujao atakuwa bora kuliko Willian, atakuwa akiwachezsha mchakamchaka wenzake uwanjani. Atakuwa akitoa assists nyingi na za kutosha, yuko fast, makosa makosa yamepungua sana na kila wakati yuko mobile halali uwanjani kama WIllian
 
Hakuna shabiki asiyependa Mount aanze, yuko kwenye form
Asipofunga anaasist na asipoassist anaanzisha move itakayozaa goli. Hata kwenye timu ya taifa kaonyesha kuwa anaweza kufanya hivyo
Hata hivyo squad ya Chelsea inaanza taratibu kuwa pana. Karibu wote wanaokaa benchi wakianza ni sawa tu. Odoi yuko onfire, jorginho naona anaanza kuwa kwenye form. Strikers wote wawili, Giroud na Tammy wako vizuri. Ambaoi bado hawako vizuri ni Tomori na Rudiger, still wana silly mistakes zisizotakiwa wakati wa kujilinda
Akimuanzisha mount rythm ya team itatibuka anatakiwa aanze alipoishia kwenye ile game na crystal pslace
 
ziyech leo anaanzia benchi timu ya taifa kacheza fill ,30 akiwa Chelsea alucheza mechi moja nayo hkumlza so tngu asajiliwe hajacheza mech ya kimashindano
Leo atanza bench
National team ziyech alicheza dk 30 tu tena alitokea bench, na mech ya leo kama ulimskia lamps anasema ziyech yuko fit ila ataanzia bench
 
Top 10 most valuable clubs in the world

1. Liverpool (£991.08m)

2. Manchester City (£971.64m)


3. Barcelona (£790.65m)

4. Bayern Munich £782.06m

5. Paris Saint-Germain £772.88m

6. Real Madrid £769.50m

7. Chelsea £760.41m

8. Manchester United £719.87m


9. Atletico Madrid £661.95m

10. Tottenham £660.20m
Kuna katimu flani hivi kanaitwa sijui Arsenal8, mbona sikaoni hapo?
 
Mount na Havertz wote wameanza pamoja. Pulisic ndani ya nyumba na Jorginho. Leo naona mpira wa kushambulia unatandazwa. Long ball za Jorginho zinaweza kutusaidia kupitia Pulisic tukapata magoli
Screenshot_20201017-161101_1602940322059_1602940340454.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom