Guardiola ameahidi mvua ya magoli.
Nanu kuu maneno, "Tutawafunga Chelsea utadhani hakuna golkipa mlangoni".
Mimi langu jicho tu, baada ya kichapo cha juzi ni haki yao kumalizia kisasi kwa wanyonge wao.
Wanaotaka kuuona (mpira) lakini kwa Kispanish, WABOFYE HAPA
Mimi leo nipo kwa jirani zangu...............DarajaniSawa mkuu!!..Catalans oyeeee!
Rev. Masa uko wapi? Ab-Tichaz najua yupo around amwage mapicha wakishinda, he he
Khaaa umenikimbia ghafla hakuna kupoteza B ushindi lazima
Tery nje kitu half time Barc2 chelsea1
Mhhhh! Yaani goli 2-0 kabla hata ya HT dah!...Hahahahahah lol! Niko banaaa sijafichwa ππ.....muda kama unakuruhusu kaione The lucky one...... hehehe wamepata moja Chelsea LOL!
belinda umesuuza roho yangu wewe!
Sanchez kaguswa na goti la Terry kajiangusha....Na Refa asivyo na hiana kampiga red Terry bila hata kujiuliza wala kumuuliza msaidizi wake.....Mourinho alishayazoea haya na kwele El classico iliyopita alimuandaa vema Pepe kisaikolojia ili akabiliane na changamoto za akina Messi na Sanchez ambao mara nyingi wamekuwa wakijiangusha na kupelekea Pepe kulambwa red katika El classico...ile kadi mimi sijaielewa hata kidogo pamoja na marudio yote.
Subiri nikutayarishie kikombe cha kahawa.Mtanipa matokeo kesho. nahisi uchovu jamani.
Mimi leo nipo kwa jirani zangu...............Darajani
Ramires Santos do Nascimento....
Wabrazil huwa hawadanganyi bana....
What a goal......
Pamoja na Barca kubebwa....Leo jirani zangu Chelsea lazima wawafanyizie
Naona leo lolote linawezekana..Nuo Camp kumeshona vilivyo, heeee!! Bora hujafichwa aisee, good to read from you!!..yaani hao ''The Lucky One'' wana hati hati...tuone 90mnts itakuwaje..!
Maneno yako kweli. Hii penalti nina wasiwasi nayo.Haya bana B mna advantage kubwa sana maana mko 12 pamoja na referee LOL! ππ