lembu nilikuambia huyo Mendy Ni kiboko wewe ukaniletea rate za mtu Binafsi kuwa eti onana Ni best than mendy.Huyu Mendy ataenda kuziba nafasi ya cech pale Chelsea nimewahi kumuona akidaka ndio maana nikakuambia hivyo.Chelsea to seal £18m Mendy deal
Chelsea are now aiming to sign goalkeeper Edouard Mendy from Rennes in an £18m deal.
The Telegraph report the Blues are closing in on a deal for a goalkeeper recommended by club legend Petr Cech, who returned to the club as their technical and performance advisor last year.
View attachment 1562472
Issue Ni ubora si thamani ya fedha ujio wa Mendy utambust Kepa ili aitwe team yake ya Taifa ya Spain Ni lazima aoneshe kiwango kikubwa ndani ya ChelseaKwa usajili huu wa Mendy itakuwa ni matusi na kashfa kwa Kepa
GK wa mil 72 anawekwa benchi na GK wa Mil 18 tu
Unafeli sana ndugu yangu ..sisi tutaendeleza mashambulizi kama mkiendelea kutuita majina ya ajabu ajabu.Basi nitakuwa sina cha kufanya ,
Mm ninachosema ni utoto unaofanya tunaonekana Arsenal na Chelsea fans kama watoto wadogo .
Subiri ligi ianze halafu ndo uje sawa nyumbu kama nyumbuNimetoka kumuangalia kai havertz aisee nimejiuliza cheltyako mmeona nini kwa huyu jamaa mbona kiwango duni anapitwa na mount vitu vingi
huna timu wewe ze blauzIfike wakati sasa wageni wakija waanze kwaa kujitambulisha kama ifuatavyo
- Una umri gani?
- Je umejiunga lini JF?
- Je unashabikia timu gani?
- Je umeanza ushabiki lini?
- Ukiishamaliza hayo ndipo uanze kwa kusalimia "Shikamoo wakubwa zangu" kabla hajaanza kuelezea shida yake
Shauri yako , Endelea na utoto , utawafata wenzakoUnafeli sana ndugu yangu ..sisi tutaendeleza mashambulizi kama mkiendelea kutuita majina ya ajabu ajabu.
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Wewe ndio unatabia ya kuita wenzako arse8, sijui Na picha za ajabu ajabuUnakuta limtu linakwita cheltako,mara chelwowo ndo nini mara linatuma picha ajabu ajabu halafu likijibiwa linaleta khasira za kijinga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi tunajibu kwa jinsi mna react upumbavu wenu.
Pumbavu kabisa.
Wewe si unaona kengezaNimetoka kumuangalia kai havertz aisee nimejiuliza cheltyako mmeona nini kwa huyu jamaa mbona kiwango duni anapitwa na mount vitu vingi
Hawa watu wengine hamna haja ya kuwajibWewe si unaona kengeza
Kwa usajili huu wa Mendy itakuwa ni matusi na kashfa kwa Kepa
GK wa mil 72 anawekwa benchi na GK wa Mil 18 tu