Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Deco akiwa kwenye ubora wake katoka Barcelona kaenda Chelsea je Barcelona Ni team ndogo? Ronaldo katoka Man United kaenda Madrid je man u Ni team ndogo?
Acha uvivu, deco alikuja chelsea akiwa na umri gani? Alikuja kula pension kama kawaida
 
Thiago kasema sababu mojawapo iliyomfanya aje Chelsea ni kwa sababu Chelsea ni mojawapo ya timu kubwa 10 duniani. Nadhani Arsenal kama kawaida yao kupenda vya free walijaribu wakagota mwamba kwa sababu ni katimu kadogo maskini kwa sasa kischoweza kununua wala kuwalipa vizuri wachezaji wake. Kama watabisha niwaletee data za mishahara Arsenal VS Chelsea
Kijana acha uongo, hatukuwahi kumuhitaji Thiago wakati tuna Luiz ,

Weka mishahara hiyo hapa, japo Toka msimu uliopita tumepunguza Wage bills baada ya watu kuondoka
View attachment 1558324
 
Thiago kasema sababu mojawapo iliyomfanya aje Chelsea ni kwa sababu Chelsea ni mojawapo ya timu kubwa 10 duniani. Nadhani Arsenal kama kawaida yao kupenda vya free walijaribu wakagota mwamba kwa sababu ni katimu kadogo maskini kwa sasa kischoweza kununua wala kuwalipa vizuri wachezaji wake. Kama watabisha niwaletee data za mishahara Arsenal VS Chelsea
Hatukuwahi kumuhitaji thiago ,usitusingizie

Tuna Luiz , Thiago wa nini?/

Arteta alihitaji LCB , ambaye kaletewa Gabriel Magalhaes

Kuhusu mishahara ,kuanzia mwaka Jana labda ,napo ni baada ya kuondoa wachezaji ,

Willian sasa hivi anapokea 220k , Auba 250, Ozil 350

Beki zetu hakuna anayelipwa chini ya 100k

Usiongee shit
images%20(1).jpg
 
Thiago kasema sababu mojawapo iliyomfanya aje Chelsea ni kwa sababu Chelsea ni mojawapo ya timu kubwa 10 duniani. Nadhani Arsenal kama kawaida yao kupenda vya free walijaribu wakagota mwamba kwa sababu ni katimu kadogo maskini kwa sasa kischoweza kununua wala kuwalipa vizuri wachezaji wake. Kama watabisha niwaletee data za mishahara Arsenal VS Chelsea
Hatukuwahi kumuhitaji thiago ,usitusingizie

Tuna Luiz , Thiago wa nini?/

Arteta alihitaji LCB , ambaye kaletewa Gabriel Magalhaes

Kuhusu mishahara ,kuanzia mwaka Jana labda ,napo ni baada ya kuondoa wachezaji ,

Willian sasa hivi anapokea 220k , Auba 250, Ozil 350

Beki zetu hakuna anayelipwa chini ya 100k

Usiongee shitView attachment 1558327
Haya data za mishahara hizi hapa.... Njoo sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
.£71m from£100
Bado mmepigwa nyie takataka..

Hivi unadhani timu gani ingekubali kuchukua kiungo kama huyo kwa £70m?

Ndio maana hakuna timu nyengine iliyoleta shobo baada ya kumuona boya boya Cheltyako kashaingia kwenye mtego.

Naona dogo amefosi sana dili likamilike mpaka kafanikiwa![emoji23][emoji23]

Hili mlijue mapema kuwa MMEPIGWAA![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bado mmepigwa nyie takataka..

Hivi unadhani timu gani ingekubali kuchukua kiungo kama huyo kwa £70m?

Ndio maana hakuna timu nyengine iliyoleta shobo baada ya kumuona boya boya Cheltyako kashaingia kwenye mtego.

Naona dogo amefosi sana dili likamilike mpaka kafanikiwa![emoji23][emoji23]

Hili mlijue mapema kuwa MMEPIGWAA![emoji23][emoji23][emoji23]

Kalipe deni la pepe ndio uje kuleta shobo humu.
GayGooners fc
 
IKO SIKU KILA GOTI LITAPIGWA NA KILA ULIMI UTAKIRI YA KWAMBA BLUE IS THE COLOR AND LONDON IS BLUE NA HIVI VIRUSI VILIVYOTUINGILIA HATUTAVIONA TENA HUMU
Unaota wewe, amka usingizini
 
Kwan pepe nyie ilikuaje
Bado mmepigwa nyie takataka..

Hivi unadhani timu gani ingekubali kuchukua kiungo kama huyo kwa £70m?

Ndio maana hakuna timu nyengine iliyoleta shobo baada ya kumuona boya boya Cheltyako kashaingia kwenye mtego.

Naona dogo amefosi sana dili likamilike mpaka kafanikiwa![emoji23][emoji23]

Hili mlijue mapema kuwa MMEPIGWAA![emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom