John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Sasa 50 yrs imefata nn hapo unajitekenya mwenyewe .....kuna nililoandika linasema 50yrs...?Mlitumia 50 yrs kuprove kuwa nyinyi sio mid table team
Nyie watoto mnachekesha
Sasa 50 yrs imefata nn hapo unajitekenya mwenyewe .....kuna nililoandika linasema 50yrs...?Mlitumia 50 yrs kuprove kuwa nyinyi sio mid table team
Nyie watoto mnachekesha
Walau kepa kanipa Kombe LA heshima...kwa ile shughuli yake aliyofanya semi final mzee.....FA hata Wigan anachukuaKepa kawika misimu mingapi mpaka ukala za chembe?![]()
Kwa goli LA offsidePepe unamchukulia poa?
Umeshasahau alichowafanya pale Wembley?
Huyo ndio mpishi wa msumari wa mwisho kwenye jenezaKwa goli LA offside
Hyo fainali IPI unayoongelea au umecheki kwenye livescores....penalty imepikwaje na pepe....aliyeangushwa ni auba.....pasi ilitoka kwa tierney .....pasi ya goli LA pili ilikuwa kawaida hauwezi kusema alifanya kazi kubwa cjui aliwalamba chenga wachezaji hapanaHuyo ndio mpishi wa msumari wa mwisho kwenye jeneza
Na ndiye mpishi wa penalty kama huna taarifa








man united

muuza madafu Brazil 







Unaongea kwa uchungu sanaHyo fainali IPI unayoongelea au umecheki kwenye livescores....penalty imepikwaje na pepe....aliyeangushwa ni auba.....pasi ilitoka kwa tierney .....pasi ya goli LA pili ilikuwa kawaida hauwezi kusema alifanya kazi kubwa cjui aliwalamba chenga wachezaji hapana



tuishi humu kwanzaKama morata na Sanchez wanaingia pepe anakosaje hapo ....mtoa post we arsenane nnNaam
Leo nawaletea Sajili Za Kitapeli mbovu kuwai kutoea duniani
1.Kepa huyu bwana ni moja kati ya walinda milango sio magoli
2.Zappacosta mlaji kama wali mshahara
.3Emerson palmer
4.bakayoko
5.Fellain
6.Alexis Sanchez walaji mishahara
8.Alvaro morata au mrata
9.Yikpe
10.K.P boateng
11.Martin brathwhite
12.Angel di maria united
13.depay
14.Osumane dembele wheel chair
15Eric bally .Hospital difender
16.Mangala
17.Lukaku .lukazigoman united
18.Willy caballero mbeba mafuta ya taa zizini
19.Mariano Diaz mrithi wa ronaldo
20.Jaja yangamuuza madafu Brazil
21.Tairone Santos .muuza maji brazil
22.Kindoki
23.Pape ndaw mzee wa power bank
Najua wengi mnataka kujiuliza mbona minamino hayupo hapo kwenye list
Minamino yeye hata kwenye hii list hawezi ingia
Sio mchezaji Bali ni samurai wa kijapani aliye jificha kwenye soccer jamani
Nakwenda zanguView attachment 1542753
Pepe ameshaonesha tayari huwezi mfananisha na takataka,Kama morata na Sanchez wanaingia pepe anakosaje hapo ....mtoa post we arsenane nn
Kwahuo utopolo ....haahaaa mzee hauwezi kuwa serious morata mwenyewe nna uhakika kamzidi magoli....Pepe ameshaonesha tayari huwezi mfananisha na takataka,
Acheni ujinga nyie sajilini beki!TETESI ZA LEO
Kwa taarifa zilizonifikia mezani kwangu leo hii Chelsea wamewasilisha ofa ambayo inaweza kukubaliwa kwa asilimia 99 kwa ajili ya kumsajili kiungo mbunifu na machachari Kai Havertz kutoka Bayern Leverkusen
Tumemkosa mchezaji aina ya cesc fabregas....na sahv kai anapatikana sokoni uwanja wetu kwan tusimsajili?Acheni ujinga nyie sajilini beki!
Pepe inaonesha anakusumbua toka awafanye mbaya pale WembleyKama morata na Sanchez wanaingia pepe anakosaje hapo ....mtoa post we arsenane nn
Kwahiyo hapo Pepe kaflop?Kwahuo utopolo ....haahaaa mzee hauwezi kuwa serious morata mwenyewe nna uhakika kamzidi magoli....View attachment 1542836


