Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyo ndio mpishi wa msumari wa mwisho kwenye jeneza

Na ndiye mpishi wa penalty kama huna taarifa
Hyo fainali IPI unayoongelea au umecheki kwenye livescores....penalty imepikwaje na pepe....aliyeangushwa ni auba.....pasi ilitoka kwa tierney .....pasi ya goli LA pili ilikuwa kawaida hauwezi kusema alifanya kazi kubwa cjui aliwalamba chenga wachezaji hapana
 
Naam

Leo nawaletea Sajili Za Kitapeli mbovu kuwai kutoea duniani

1.Kepa huyu bwana ni moja kati ya walinda milango sio magoli
2.Zappacosta mlaji kama wali mshahara
.3Emerson palmer
4.bakayoko
5.Fellain
6.Alexis Sanchez walaji mishahara
8.Alvaro morata au mrata
9.Yikpe
10.K.P boateng
11.Martin brathwhite
12.Angel di maria united
13.depay
14.Osumane dembele wheel chair
15Eric bally .Hospital difender
16.Mangala
17.Lukaku .lukazigo man united
18.Willy caballero mbeba mafuta ya taa zizini
19.Mariano Diaz mrithi wa ronaldo
20.Jaja yanga muuza madafu Brazil
21.Tairone Santos .muuza maji brazil
22.Kindoki
23.Pape ndaw mzee wa power bank

Najua wengi mnataka kujiuliza mbona minamino hayupo hapo kwenye list

Minamino yeye hata kwenye hii list hawezi ingia

Sio mchezaji Bali ni samurai wa kijapani aliye jificha kwenye soccer jamani

Nakwenda zangu
FB_IMG_1597908409954.jpg
 
Hyo fainali IPI unayoongelea au umecheki kwenye livescores....penalty imepikwaje na pepe....aliyeangushwa ni auba.....pasi ilitoka kwa tierney .....pasi ya goli LA pili ilikuwa kawaida hauwezi kusema alifanya kazi kubwa cjui aliwalamba chenga wachezaji hapana
Unaongea kwa uchungu sana tuishi humu kwanza
JamiiForums739720064.jpg
 
Naam

Leo nawaletea Sajili Za Kitapeli mbovu kuwai kutoea duniani

1.Kepa huyu bwana ni moja kati ya walinda milango sio magoli
2.Zappacosta mlaji kama wali mshahara
.3Emerson palmer
4.bakayoko
5.Fellain
6.Alexis Sanchez walaji mishahara
8.Alvaro morata au mrata
9.Yikpe
10.K.P boateng
11.Martin brathwhite
12.Angel di maria united
13.depay
14.Osumane dembele wheel chair
15Eric bally .Hospital difender
16.Mangala
17.Lukaku .lukazigo man united
18.Willy caballero mbeba mafuta ya taa zizini
19.Mariano Diaz mrithi wa ronaldo
20.Jaja yanga muuza madafu Brazil
21.Tairone Santos .muuza maji brazil
22.Kindoki
23.Pape ndaw mzee wa power bank

Najua wengi mnataka kujiuliza mbona minamino hayupo hapo kwenye list

Minamino yeye hata kwenye hii list hawezi ingia

Sio mchezaji Bali ni samurai wa kijapani aliye jificha kwenye soccer jamani

Nakwenda zanguView attachment 1542753
Kama morata na Sanchez wanaingia pepe anakosaje hapo ....mtoa post we arsenane nn
 
Wakati Willy Caballero anatimiza miaka 39 siku chache zijazo,
Jamaa wamemuona mpweke wanataka kumuongezea mzee mwenzake Thiago Silva mwenye umri wa 36 na kipa mwenye umri wa miaka 37 ili pale nyuma panoge kwa usajiri huru.
 
TETESI ZA LEO
Kwa taarifa zilizonifikia mezani kwangu leo hii Chelsea wamewasilisha ofa ambayo inaweza kukubaliwa kwa asilimia 99 kwa ajili ya kumsajili kiungo mbunifu na machachari Kai Havertz kutoka Bayern Leverkusen
 
TETESI ZA LEO
Kwa taarifa zilizonifikia mezani kwangu leo hii Chelsea wamewasilisha ofa ambayo inaweza kukubaliwa kwa asilimia 99 kwa ajili ya kumsajili kiungo mbunifu na machachari Kai Havertz kutoka Bayern Leverkusen
Acheni ujinga nyie sajilini beki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom