Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwahiyo hapo Pepe kaflop?

Wewe jamaa ni tatizo
Kama jamaa yako kamweka morata kwenye list ya flop...basi kwann hajamuweka huyo kipepe ambaye kazidiwa. Magoli msimu wake wa kwanza na morata....kipepe kwenye ligi tu ana goli 5 huko afu hela mingii...I pity you arsenane
 
Kama jamaa yako kamweka morata kwenye list ya flop...basi kwann hajamuweka huyo kipepe ambaye kazidiwa. Magoli msimu wake wa kwanza na morata....kipepe kwenye ligi tu ana goli 5 huko afu hela mingii...I pity you arsenane
Kweli wewe Shimba , Morata ni CF , Pepe ni winger ,

Pepe katuchangia magoli/Assist 18 ,na hapo kacheza chini ya makocha watatu na ni msimu wake wa kwanza ,

Unafananisha na hiyo takataka Morata?
 
Kweli wewe Shimba , Morata ni CF , Pepe ni winger ,

Pepe katuchangia magoli/Assist 18 ,na hapo kacheza chini ya makocha watatu na ni msimu wake wa kwanza ,

Unafananisha na hiyo takataka Morata?
Ndugu usitufanye hatujui mpira, it is a matter of position tu, hao wote ni foward na wanatakiwa wafunge au waasists
Mpira wa kizamani ndio magoli afunge striker tu viungo washambuliaji na winga wote ni washambuliaji au kiingereza forward na kazi ya mshambuliaji ni kufunga magoli. Mbona kule alikotoka alikuwa striker au winga? mbona kafunga mengi. kuflop ni kwamba ulikuwa unafanya vizuri sasa huwezi tena kufunga kama zaman i ndio maana ya kuflop
Kwanza Morata hakuflop kwa sababu magoli aliyokuwa nafunga RM, Juve ni rate ile ile
 
Kama jamaa yako kamweka morata kwenye list ya flop...basi kwann hajamuweka huyo kipepe ambaye kazidiwa. Magoli msimu wake wa kwanza na morata....kipepe kwenye ligi tu ana goli 5 huko afu hela mingii...I pity you arsenane
Nyinyi ndio mnakidhalilishaga hiki kikundi cha CHELTYAKO sasa unamfananishaje PEPE na Morata? Hivi hata soka unalielewa kweli wewe? Dah
 
Ndugu usitufanye hatujui mpira, it is a matter of position tu, hao wote ni foward na wanatakiwa wafunge au waasists
Mpira wa kizamani ndio magoli afunge striker tu viungo washambuliaji na winga wote ni washambuliaji au kiingereza forward na kazi ya mshambuliaji ni kufunga magoli. Mbona kule alikotoka alikuwa striker au winga? mbona kafunga mengi. kuflop ni kwamba ulikuwa unafanya vizuri sasa huwezi tena kufunga kama zaman i ndio maana ya kuflop
Kwanza Morata hakuflop kwa sababu magoli aliyokuwa nafunga RM, Juve ni rate ile ile
Kwahiyo na wewe pia unasema Pepe kaflop?
 
Wewe Payuka tu, Hadi sasa Hujasajiri kipa wakueleweka


PSG defender Thiago Silva offered to Chelsea on free transfer (Telegraph) #CFC #PSG
Statement inasema has been offered kama hunaelewa ni kwamba siyo sisi(Chelsea) tumetuma maombi ila ni kama tumepewa offer ya kumsajili free.
 
Naam

Leo nawaletea Sajili Za Kitapeli mbovu kuwai kutoea duniani

1.Kepa huyu bwana ni moja kati ya walinda milango sio magoli
2.Zappacosta mlaji kama wali mshahara
.3Emerson palmer
4.bakayoko
5.Fellain
6.Alexis Sanchez walaji mishahara
8.Alvaro morata au mrata
9.Yikpe
10.K.P boateng
11.Martin brathwhite
12.Angel di maria united
13.depay
14.Osumane dembele wheel chair
15Eric bally .Hospital difender
16.Mangala
17.Lukaku .lukazigo man united
18.Willy caballero mbeba mafuta ya taa zizini
19.Mariano Diaz mrithi wa ronaldo
20.Jaja yanga muuza madafu Brazil
21.Tairone Santos .muuza maji brazil
22.Kindoki
23.Pape ndaw mzee wa power bank

Najua wengi mnataka kujiuliza mbona minamino hayupo hapo kwenye list

Minamino yeye hata kwenye hii list hawezi ingia

Sio mchezaji Bali ni samurai wa kijapani aliye jificha kwenye soccer jamani

Nakwenda zanguView attachment 1542753
 
Wakati Willy Caballero anatimiza miaka 39 siku chache zijazo,
Jamaa wamemuona mpweke wanataka kumuongezea mzee mwenzake Thiago Silva mwenye umri wa 36 na kipa mwenye umri wa miaka 37 ili pale nyuma panoge kwa usajiri huru.
Uwe unaelewa vitu kabla hujaropoka. Chelsea haija muapproach Silva ila ni option ipo kama Chelsea itahitaji kumchukua bure na akubali kushusha mshahara.
 
Hii Cheltyako ht msajili nani ila Arteta ana jambo lake hapa Boxing day, hazipungui goli tatu,My prediction wafungaji ni Pepe,Willian,Auba.
Coyg
Arsenal london chama kubwa
 
Ndugu usitufanye hatujui mpira, it is a matter of position tu, hao wote ni foward na wanatakiwa wafunge au waasists
Mpira wa kizamani ndio magoli afunge striker tu viungo washambuliaji na winga wote ni washambuliaji au kiingereza forward na kazi ya mshambuliaji ni kufunga magoli. Mbona kule alikotoka alikuwa striker au winga? mbona kafunga mengi. kuflop ni kwamba ulikuwa unafanya vizuri sasa huwezi tena kufunga kama zaman i ndio maana ya kuflop
Kwanza Morata hakuflop kwa sababu magoli aliyokuwa nafunga RM, Juve ni rate ile ile
Kwa akili yako pepe kaflop?

Kuulize Azp
 
Pepe ameshaonesha tayari huwezi mfananisha na takataka,
Tuishi humu. Comrade Kipepe
Screenshot_20200820-023252_1597939803872.jpg
View attachment 1543359
 
Haaahaaaa Mmh assist 18......
Unaelewa maana ya G/A 18

Ukitoa Auba anayefatia kwa uchangiaji mabao Arsenal ni Pepe

2nd Most chances created Arsenal ni Pepe

Ingia YouTube andika Pepe vs Chelsea FA CUP FAINAL

nadhan utarud kwa heshima hapa
 
Hii Cheltyako ht msajili nani ila Arteta ana jambo lake hapa Boxing day, hazipungui goli tatu,My prediction wafungaji ni Pepe,Willian,Auba.
Coyg
Arsenal london chama kubwa
Hiyo boxing day sijui mtaficha wapi sura zenu. Mtashindwa kufungua zawadi nyie.
 
Unaelewa maana ya G/A 18

Ukitoa Auba anayefatia kwa uchangiaji mabao Arsenal ni Pepe

2nd Most chances created Arsenal ni Pepe

Ingia YouTube andika Pepe vs Chelsea FA CUP FAINAL

nadhan utarud kwa heshima hapa
Mkuu huu mwendo uliorudi nao naomba uendelee nao usije ukakimbia kama kipindi kile. Uliporudi ukabadilisha na jina

Timu yako tunaijua huwa mnapoteana nyie sasa ndio mnaongoza kwenye majukwaa ya wanaume ikifika mwisho wa Oktoba mpaka wewe unalalamikiwa kwa nini husajili
 
Nyinyi ndio mnakidhalilishaga hiki kikundi cha CHELTYAKO sasa unamfananishaje PEPE na Morata? Hivi hata soka unalielewa kweli wewe? Dah
Usikimbilie kwenye position huyo arsenane mwenzako katumia kigezo gani kuwapanga hao wachezaji kuwa wameflop? Unarukia tu mzee hujui imetokea wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom