Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
Pepe unamchukulia poa?Mkuu Huyo pepe aliwika tu msimu mmoja kwa takwimu za kutisha watu wakazama mfukoni na wakala za uso
Umeshasahau alichowafanya pale Wembley?
Pepe unamchukulia poa?Mkuu Huyo pepe aliwika tu msimu mmoja kwa takwimu za kutisha watu wakazama mfukoni na wakala za uso
Hamjui pepe huyu, kacheza chini ya makocha watatu , still bado kachangia magoli 18Kepa kawika misimu mingapi mpaka ukala za chembe?
Wala Arteta target yake ya kwanza sio coutinho ,ni AouarCoutinho baada ya kuwafunga Barca 2 na kutoa asists moja hawana mpango wa kumuuza tena, Koeman ana mpango nae
Kwani miaka 30 imeshapita mpaka wanyanyue msimu ujao? Wanaojiita wakongwe wote chupi chiniTulikuja kuprove sisi sio mid table team kwa kunyanyua ndoo ya EPL msimu uliofata....na nyie mtuprove basi
Alikuwepo Abraham, Willian na Mount mmeshindwa. Mtaweza kwa hao kina Haverrtz, Timo na Ziyech?Tutapiga in and out
Humu siyo kama jukwaa la Arsenal kwamba ukipata chochote unatuma. Hivi vihabari uchwara mmekaa wenyewe na kabineti yenu sisi havitaweza kutusaidia.PSG defender Thiago Silva offered to Chelsea on free transfer @mcgrathmike PSG defender Thiago Silva offered to Chelsea on free transfer
Kama mtafanikiwa kumchukua huyo dogo Aouar mtakua mmefanya bonge la usajili ambao haujawahi kutokea.Wala Arteta target yake ya kwanza sio coutinho ,ni Aouar
Chilwell simkubali sana japo ashel cole mwenyewe anampigia upate aje Chelsea90M lazima itutoke, wamalizie hiyo 10M tutoke hapo.
Mi nafurahi uongozi iwaume kutoa hiyo 90M warudi na hasira, wauze wachezaji matakataka yote kupata pesa nyingine ya kumalizia sajili zilizobaki.
Scouting wanafanya kazi yake tim imegeuza kama sehem ya kupiga hela kupitia loansNi kweli kabisa. Tulipe hiyo pesa ya Kai tumalizane naye, tufocus kwenye kulalia bei wachezaji wengine.
Lakini kwa upande mwingine pia scouting team yetu sioni kama ina weledi kwenye kusaka na kuvumbua vipaji.
Eti nini? Nimecheka sanaPSG defender Thiago Silva offered to Chelsea on free transfer @mcgrathmike PSG defender Thiago Silva offered to Chelsea on free transfer
Wewe uliweka chupi kwenye enga 50yrsKwani miaka 30 imeshapita mpaka wanyanyue msimu ujao? Wanaojiita wakongwe wote chupi chini
Kwani tar 1,final FA cup hawajakuwepo? Au ndio maji kupwa maji kujaaAlikuwepo Abraham, Willian na Mount mmeshindwa. Mtaweza kwa hao kina Haverrtz, Timo na Ziyech?
Au unajitoa fahamu wewe
Huyo tayari mbona,Kama mtafanikiwa kumchukua huyo dogo Aouar mtakua mmefanya bonge la usajili ambao haujawahi kutokea.
Mbona Etoo alikuja kula pensionau ulikuwa bado hujazaliwa?Humu siyo kama jukwaa la Arsenal kwamba ukipata chochote unatuma. Hivi vihabari uchwara mmekaa wenyewe na kabineti yenu sisi havitaweza kutusaidia.
Chelsea siyo sehemu ya wazee kustaafia kama Arsenane
Hajielewagi huyo JamaaWewe uliweka chupi kwenye enga 50yrs
London is Red
Wewe Payuka tu, Hadi sasa Hujasajiri kipa wakuelewekaHumu siyo kama jukwaa la Arsenal kwamba ukipata chochote unatuma. Hivi vihabari uchwara mmekaa wenyewe na kabineti yenu sisi havitaweza kutusaidia.
Chelsea siyo sehemu ya wazee kustaafia kama Arsenane
Haaahaaa Sahv unatoa hela kamili maswala ya kupeleka guendouzi na pauni mil 20 hawataki...au kulipa kwa mafungu hawataki hizoWala Arteta target yake ya kwanza sio coutinho ,ni Aouar
Watatongozwa wataingia kwenye nyavu ,Haaahaaa Sahv unatoa hela kamili maswala ya kupeleka guendouzi na pauni mil 20 hawataki...au kulipa kwa mafungu hawataki hizo
Clabu nje ya uingeleza saiz washajua timu nyingi zinahitaji kujijenga so wachezaji wao wanahitajik sana sokoni ndomana kwenye bei wanakomaa nayo bila punguzoWatatongozwa wataingia kwenye nyavu ,