Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pulisic - Werner - Ziyech

Kovacic - Kante - Harvetz

Chilwell - Upemecano - Zouma - James

Tunajivuta vuta nini Sasa?

Chilwell - £80M
Upemecano - £54M
Harvetz - £80M

TOTAL = £214

Roman Spend Transfer Budget = £300M

Uza:-
Rudger
Tomori
Emerson
Barkely
Bakayoko
Batshuayi
Drinking water
Moses
Zappacosta
Jognho
Keppa
Caballero
Deal la Chilwel huenda likawa btn 40-50

Hapo kwa Umpecano nahis ni ngumu juzi tu katoka kusain mkataba mpya

Ngoja tuone lamps ana plan gani

Mpk sasa 1st target wake wa kila sehm ashapata ngoja tusubir tuone sajili zitakazofata
 
Wewe ndio hujaelewa,Willian anaona hiyo ni Club kubwa inadeserve kushinda Invincible kila mwaka ila siyo kufananishwa na Utopolo huo.
Mmh wapi mahali aliposema "I think this team deserves to win invicible" mbona unakwepesha maana kk haaahaaaa liver, city nao wamebeba lkn kichapo wameonja nyie ndo MNA ndoto za invincible na kina saliba na pepe ...rudia vizuri kauli lkn sio hvyo ulivyosema
 
Willian ni utumbo kwa kuwa kaenda Arsenal?? Ushabiki usikuzidie cheltako
Vitu vingine usiingilie kati kama hujajua mwanzo. Toka msimu uliopita mimi nimeshikilia kauli yangu yq kwamba Willian sisi alikua hatufai siyo kwakua umekuta comment yangu leo ndio unasema eti kwakua ameenda Arsenal.

Tafuta comment zangu huwa nasema Willian ikifika wakati wa kuongeza mkataba ndio atajifanya kuwa active lakini baada ya hapo mtajuta. Sijawahi kuwa fan wake toka nijue ujinga wake.
 
Kwa hiyo Chelsea ni bora kwa kuwa hamjapigwa nyingi na Bayern[emoji3][emoji3][emoji3]

Kwa kweli dunia ina vituko mtu anapigwa 7 bado anasema wapige vifua mbele wapo vizuri,mkiambiwa club ndogo mnabisha[emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu uwe unashirikisha bongo yako kufikiri unaaibisha mid table wenzako.
 
Kichwa kina mambo mengi mpaka anashindwa kuelewa vitu vidogovidogo.... Si ahamie hata Leeds kupunguza msongo, kutoka kapa kunakera
[emoji23][emoji23][emoji23] yan nyie kuchukua kombe la mbeleko mwaka huu ndio mmeanza kuonyesha uhalisia wenu. Eti kutoka kapa kunakera. Hivi miaka ya nyuma uko mmetoka kapa misimu mingapi?

Aisee masikini akipata matter core hulia mbwatter.
 
Amechanganyikiwa mkuu, Southern Highland hatuchukui tena mchezaji usije jinyonga[emoji3][emoji3]
Hatuwezi kuwakataza kuchukua wachezaji kwa sababu mnaowachukua ni wale waliokwisha kimawazo na uwezo. Kwa hiyo nawaambia hata Azpilicueta anaelekea mwisho wa mpira wake njooni baada ya msimu ujao mumchukue. Namaanisha mnaoweza kuwachukua ni wale wanaoelekea ukingoni mwa soka lao siyo hawq chipukizi.

Lakini kwa wachezaji ambao wanajielewa hawezi kukubali kutoka Chelsea eti aende Arsenal [emoji23][emoji23] yatakua maajabu ya karne.
 
Mmh wapi mahali aliposema "I think this team deserves to win invicible" mbona unakwepesha maana kk haaahaaaa liver, city nao wamebeba lkn kichapo wameonja nyie ndo MNA ndoto za invincible na kina saliba na pepe ...rudia vizuri kauli lkn sio hvyo ulivyosema
Hao ni mid table teams usitegemee hata uwezo wa kufikiri ukawa sawa na timu za juu. Shida ni ile nafasi waliyomaliza ndio imekomba hado bongo zao
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yan nyie kuchukua kombe la mbeleko mwaka huu ndio mmeanza kuonyesha uhalisia wenu. Eti kutoka kapa kunakera. Hivi miaka ya nyuma uko mmetoka kapa misimu mingapi?

Aisee masikini akipata matter core hulia mbwatter.
Mbeleko ipi huna uwezo tu, afu kibaya huna kocha km Manyumbu tu. Yani msimu ujao Gunners hapa Auba, pale Willian, pale Partey kule Pepe haaaahaaa! unakufa nje ndani hatuna cha kupoteza [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tayari mechi ya jana iliingia kwenye rekodi za UEFA kwa timu kufungwa magoli mengi na Bayern walitupa onyo kwa Spurs
Mechi zote ni

  • 14/08/2020 - Barcelona 2-8 Bayern,
  • 05/11/2003 - Monaco 8-3 Deportivo La Coruña,
  • 22/11/2016 - Dortmund 8-4 Legia Warszawa,
  • 01/10/2019 - Tottenham 2-7 Bayern,
  • 24/10/2000 - Paris Saint-Germain 7-2 Rosenborg,
  • 08/03/2005 - Lyon 7-2 Werder Bremen,
  • 21/10/2008 - Villarreal 6-3 Aalborg,
 
Hao ni mid table teams usitegemee hata uwezo wa kufikiri ukawa sawa na timu za juu. Shida ni ile nafasi waliyomaliza ndio imekomba hado bongo zao
Umeskia huko Arteta mtu mbad kapewa mandate ya usajili anahusika direct[emoji3][emoji3][emoji3], lo lo lo lo loh Lampard arudi Championship tu hana chake huku,tutamdhalilisha next season.
 
Umeskia huko Arteta mtu mbad kapewa mandate ya usajili anahusika direct[emoji3][emoji3][emoji3], lo lo lo lo loh Lampard arudi Championship tu hana chake huku,tutamdhalilisha next season.
Mmeshindwa kumdhalilisha akiwa na 60% wachezaji wa academy mtamdhalilisha akisha sajili?
 
Tayari mechi ya jana iliingia kwenye rekodi za UEFA kwa timu kufungwa magoli mengi na Bayern walitupa onyo kwa Spurs
Mechi zote ni

  • 14/08/2020 - Barcelona 2-8 Bayern,
  • 05/11/2003 - Monaco 8-3 Deportivo La Coruña,
  • 22/11/2016 - Dortmund 8-4 Legia Warszawa,
  • 01/10/2019 - Tottenham 2-7 Bayern,
  • 24/10/2000 - Paris Saint-Germain 7-2 Rosenborg,
  • 08/03/2005 - Lyon 7-2 Werder Bremen,
  • 21/10/2008 - Villarreal 6-3 Aalborg,
Mzee baba lembu bado naona unajustify ubora wa timu yako kwa kufananisha kipigo alichokipata Barca [emoji3]
 
Lacazette huyu Pirlo na Juve wanayemuhitaji, au lacca wa ikwinyiko huko kwenu?
Hahahaaaa.. sijasema ni mchezaji mbaya ielewe statement yangu.

Hata ivyo Pirlo na Juve yake haimaanishi ndio wanaojua wachezaji wazuri na wabaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom