Barcelona waache kumuuza Countinho
Na wakome kuzisema sema timu za London mkuu,
Barca amesimikwa ngapi huko? Wewe uliwekwa ngapi?7 mmejitahidi! [emoji2089][emoji2089][emoji23][emoji23][emoji23]
Willian tutamkumbuka sawa.We jamaa kwani unadhani usajili wa Ziyech ulikua kwa ajili gani? Unadhani hawakujua utumbo wake
Aka kawimbo mlisema kwa kampten Amerca kawaaibisha mmeanza kwa Ziyech ,subiri kidogo aibu nyingineNyie kuku mtamkumbuka willian,
Zyech hawezi kuwa kwenye form kama alivokuwa Ajax
Soon mtaanza kulialia
Sure hata Mimi alivyoondoka hazard aisee niliumia sana na sahv sitaki kante aondokeKati ya Willan na Hazard Yupi wa kumkumbuka sana?
Maumivu niliyonayo moyoni kwa kuondoka Hazard Chelsea hata aondoke mchezaji gani, Hata waondoke wachezaji 6 kwa pamoja wa 1st eleven, sitapata maumivu yoyote kuliko yale ya Hazard. Itanichukua muda kumsahau Hazard.
Kumbukeni zile tetesi za Hazard mfululizo kwenda Madrid unaomba Mungu Madrid wamsahau.
Mchezaji gani wa Chelsea ya sasa ukisikia tetesi zake anahitajika sokoni kununuliwa na timu nyingine unaomba Mungu asiondoke? Nani? Labda kidogo Pulisic
Hii statement wataielewa baadaye kidogo ligi ikianzaHatujadharau uhamisho, kilichofanya nicheke ni hii statement aliyosema "I think this club deserves to shine again and I want to be a part of this project" huoni kama ni dharau hiyo au anaashiria ametoka Club kubwa ameenda kwenye Club yenye historia ambayo iliwika kitambo.
Halafu swala la kutufunga mkachukua kombe mjadala ulishaisha kitambo ile mechi ilimalizwa na Antony Tylor.
[emoji23][emoji23]Barca amesimikwa ngapi huko? Wewe uliwekwa ngapi?
Ifike wakati tuheshimu uwepo wa mungu home and away 7-1 kuna mtu mechi moja kawekwa 8.
Hapana, wangefungwa hizohizo, hizo wameshinda kwasababu wanajua hakuna 2nd leg[emoji23][emoji23]Barca angecheza home & away angefungwa goal 16
Sasa Pulisic kakifanya nini! Mpaka umdharau Ngolo?Kati ya Willan na Hazard Yupi wa kumkumbuka sana?
Maumivu niliyonayo moyoni kwa kuondoka Hazard Chelsea hata aondoke mchezaji gani, Hata waondoke wachezaji 6 kwa pamoja wa 1st eleven, sitapata maumivu yoyote kuliko yale ya Hazard. Itanichukua muda kumsahau Hazard.
Kumbukeni zile tetesi za Hazard mfululizo kwenda Madrid unaomba Mungu Madrid wamsahau.
Mchezaji gani wa Chelsea ya sasa ukisikia tetesi zake anahitajika sokoni kununuliwa na timu nyingine unaomba Mungu asiondoke? Nani? Labda kidogo Pulisic
Tulia acha kulialia kijana,Hii statement wataielewa baadaye kidogo ligi ikianza
Wewe ndio hujaelewa,Willian anaona hiyo ni Club kubwa inadeserve kushinda Invincible kila mwaka ila siyo kufananishwa na Utopolo huo.Hatujadharau uhamisho, kilichofanya nicheke ni hii statement aliyosema "I think this club deserves to shine again and I want to be a part of this project" huoni kama ni dharau hiyo au anaashiria ametoka Club kubwa ameenda kwenye Club yenye historia ambayo iliwika kitambo.
Halafu swala la kutufunga mkachukua kombe mjadala ulishaisha kitambo ile mechi ilimalizwa na Antony Tylor.
Emerson tunampandisha mbele[emoji16]Replace ya Willian ni nani?
Willian ni utumbo kwa kuwa kaenda Arsenal?? Ushabiki usikuzidie cheltakoWe jamaa kwani unadhani usajili wa Ziyech ulikua kwa ajili gani? Unadhani hawakujua utumbo wake
Kwa hiyo mnajicompare yupi bora zaidi kwa kuangalia nani kapigwa goli nyingi dakika za mapema?[emoji3][emoji3][emoji3]Walitusema sisi Chelsea ni wabovu
Barcelona yuko nyuma 3-1 dk ya 27
Kwa hiyo Chelsea ni bora kwa kuwa hamjapigwa nyingi na Bayern[emoji3][emoji3][emoji3]Wakuu wana Chelsea wenzangu popote mlipo piga kifua sema Ahsante Mungu haya mambo anayofanyiwa Barcelona nahisi sisi tumejitahidi sana. Barca anashukuru mungu hizi game hazina home and away.
Piga kifua popote ulipo tumefanya kazi kubwa asee
Kichwa kina mambo mengi mpaka anashindwa kuelewa vitu vidogovidogo.... Si ahamie hata Leeds kupunguza msongo, kutoka kapa kunakeraWewe ndio hujaelewa,Willian anaona hiyo ni Club kubwa inadeserve kushinda Invincible kila mwaka ila siyo kufananishwa na Utopolo huo.
Wakati wanaubembeleza utumbo kuupa kandarasi ya miaka miwili sijui walikuwa wamelewa. [emoji23][emoji23][emoji1616][emoji2089]Willian ni utumbo kwa kuwa kaenda Arsenal?? Ushabiki usikuzidie cheltako