Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hatujadharau uhamisho, kilichofanya nicheke ni hii statement aliyosema "I think this club deserves to shine again and I want to be a part of this project" huoni kama ni dharau hiyo au anaashiria ametoka Club ameenda kwenye yenye historia ambayo iliwika kitambo.

Halafu swala la kutufunga mkachukua kombe mjadala ulishaisha kitambo ile mechi ilimalizwa na Antony Tylor.
Huna jipya,


Imeisha hiyo
wb1.jpg
 
Nyie kuku mtamkumbuka willian,

Zyech hawezi kuwa kwenye form kama alivokuwa Ajax

Soon mtaanza kulialia
 
Wakuu wana Chelsea wenzangu popote mlipo piga kifua sema Ahsante Mungu haya mambo anayofanyiwa Barcelona nahisi sisi tumejitahidi sana. Barca anashukuru mungu hizi game hazina home and away.

Piga kifua popote ulipo tumefanya kazi kubwa asee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom