Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bila kumsahau Kocha, Lampard hafai kuifundisha Chelsea hafai kabisa.
So bro hapo ulikuwa unategemea kuwa miracle itatokea kwa kikosi tulichonacho msim huu

Gap btn chelsea ya sasa na tim kubwa ulaya ni kubwa na haliwezi kufikia ndani ya msim mmoja tu

Ilimchukua Klopp almost 4 years kama sijakosea liverpool kuwa kama hiv

Chelsea yetu bado inahitaji overhaul ya kutosha
 
Ni bora chelsea kumsajili alcantara kuliko kumchukua hevertez
Thiago ni mrithi sahihi wa fab.. Ana offer vjtu vingi, pass, anakaba vizuri kuliko jogihno..

Anaozohefu wa kutosha kwa mechi ngumu na timu kubwa.. Then anapatikana kwa bei poa, japo umri umeenda
Injury prone

Halaf labda awe kwa ajili ya short term plan
 
Chelsea isisajili tu wachezaji stars bali ifanyie marekebisho makubwa benchi la ufundi

Kuanzia kwa

  1. kocha wa magolikipa
  2. Performance coach
  3. Kocha anayehusika na safu ya ukabaji
Henrique Hilario - Goalkeeper Coach - The goalkeeper coach was bought in by former manager Antonio Conte in 2016.

Huyu anatakiwa aondoke aletwe mwingine mwenye
Kuna kipindi niliona lampard akimtaka shay given aje kuwa kocha wa makipa sijui hata iliishia wapi
 
Umeongea point ndugu
Hawa academy hawana consistency kabisa. Wengine tuliwasifia wakati ule hatukuruhusiwa kusajili. Sasa tumefunguliwa tuwalete wachezaji kamili world class wenye kuamua matokeo dressing room.
Ukiangalia Bayern ya mwaka huu wako fit kila idara kwa nguvu, kwa skills, kwa mentality na kwa umakini vitu ambavyo Chelsea haipo kabisa
Kwa mechi ya jana na zinginezo nimegungua pia kukosekana kwa kiongozi kama Teri, Azpi anajitahidi sana ila jhajafikia leadership ya Tery hasa kule nyuma. Defenders wote wanakaba sana ila bila kutumia akili. Magoli ya jana vichekesho tupu hata siwezi kuelezea. Kepa sas naanza kumuelewa, Mabeki wetu hata kujipanga kukaba hawajui utafikiri hawajafundishwa.
Hii timu kwa ujumla ni ya kusafisha yote
Hata kule mbele Pulisic asipokuwepo wa kupiga chenga hatuwezi funga magoli. Ukiangalia jana Bayern hawakuwa wanapiga chenga kama Pulisic. Walikuwa wanapanga kufunga, wachezaji wanapelekwa mpaka wanappoteana halafu Lewandowski au Perisic anafunga kiulaini.
Mamanegement isajili wachezaji waliokamilika, wanaofundishika, wenye tallent binafsi na ambao ni professional.
ACADEMY wanafaa sana kwa sub, timu B na potentials za baadaye wakikomaa kama akina Tomori na Mount
Kwa maoni yangu benchi lote la defense tunahitaji kusajili first team
Katikati tunahitaji kiungo mfungaji na mtoa assists double digits kila mwaka kwenye magoli na assists. Ziyech anaweza hiyo kazi
Tuwapate winga calibre ya akina sancho, rahim. Tuwapate mabeki wa kumlinda kipa na tupate kipa world class. Nahisi kwa mahitaji haya, Bado Chelsea itaendelea kujengwa 2020/21
Aajiriwe fundi wa mabeki kama John Tery
Kw kepa hapana ujue kuna kipindi man utd defenc yao ilikuwa mbovu lakin de gea akaonesha ubora wake

Sisi kwetu defenc mbovu kipa na yeye anashindwa kuonesha ubora wake


Wale wakina tomori na zouma wanahitaji kucheza na cb like koulibaly ambae anaweza kuwacommand wakiwa ndani ya uwanja

Kule nyuma tunamhitaj kiongozi
 
Waliosababisha Willian avimbe shingo na akatae mkataba wa miaka miwili wa Chelsea ni Arsenal na nawahakikishia Arsenal itakuja kuwabumbia siku moja msimu ujao na mtakuja kujua kuwa vya bure vinaua.
Hata hivyo mtamsajili SUB mzuri sana
Waache hawamfuatilii Willian wameamua kumeza bomu wacha likafumue utumbo na spinal cord zao akili ziwakae vizuri.

Hakuna mchezaji aliye juu ya club
 
So bro hapo ulikuwa unategemea kuwa miracle itatokea kwa kikosi tulichonacho msim huu

Gap btn chelsea ya sasa na tim kubwa ulaya ni kubwa na haliwezi kufikia ndani ya msim mmoja tu

Ilimchukua Klopp almost 4 years kama sijakosea liverpool kuwa kama hiv

Chelsea yetu bado inahitaji overhaul ya kutosha
Mwachie huyo anafuata mkumbo, angekuwa kocha mandazi Chelsea ya mwaka huu ingekuwa inagombania mid table kama Arsenal
Mwambie kuwa Lampard yuko kwenye kinyang'anyiro cha kuwania kocha bora wa msimu kama hajui
  1. Jurgen Klopp
  2. Frank Lampard,
  3. Brendan Rodgers
  4. Chris Wilder
Those coaches were nominated after leading their clubs in stellar campaigns

Kumpigia kura Lampard wetu nenda hapa
Select your 2019/20 Barclays Manager of the Season
 
Waache hawamfuatilii Willian wameamua kumeza bomu wacha likafumue utumbo na spinal cord zao akili ziwakae vizuri.

Hakuna mchezaji aliye juu ya club
Willian ni baba wa familia. Anaipenda familia yake kuliko career yake.
Hawajui siri ya Willian kuforce mkataba wa miaka mitatu na uzee huu ili akishapewa akale kuku kwa mrija
Hawajui kuwa ugomvi mkubwa kati ya Willian na Sarri ni muda wa mazoezi.
 
Waliosababisha Willian avimbe shingo na akatae mkataba wa miaka miwili wa Chelsea ni Arsenal na nawahakikishia Arsenal itakuja kuwabumbia siku moja msimu ujao na mtakuja kujua kuwa vya bure vinaua.
Hata hivyo mtamsajili SUB mzuri sana
Mbona mnalialia hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmekuwa kama wale vyura,
 
Mkitaka msiguse hata top 6 mwakani muondoeni zouma kwenye timu yenu, jamaa anawasaidia sana
 
Lampard yupo busy tu kununua strikers na midfielders wakati tuna matatizo makubwa sana kwenye eneo la ulinzi. Andreas Christensen, Reece James, Kurt Zouma na Emerson sio viwango vyetu kabisaa
 
Lampard yupo busy tu kununua strikers na midfielders wakati tuna matatizo makubwa sana kwenye eneo la ulinzi. Andreas Christensen, Reece James, Kurt Zouma na Emerson sio viwango vyetu kabisaa
Acha uboya mtoe zouma kwenye list yako hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom