lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,700
- 25,917
Tangu arudi kwenye first team Zouma amekuwa na consistency nzuri tofauti na wenzake akina Rudiger, Christensen na Tomori ndio kapotea kabisa.
Pamoja na Zouma kucheza vizuri sio level ya Chelsea ya kupigania ubingwa, ni level ya mid-table team. Akibaki Chelsea labda awe backup au tim u B kwa ajili ya Carabao na FA
Pamoja na Zouma kucheza vizuri sio level ya Chelsea ya kupigania ubingwa, ni level ya mid-table team. Akibaki Chelsea labda awe backup au tim u B kwa ajili ya Carabao na FA