DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Ni kutolewa hapo London na kupelekwa JangwaniSheria ya UEFA inasemaje endapo timu itakataa kwenda uwanjani mechi ya marudiano hatua ya mtoano?



Ni kutolewa hapo London na kupelekwa JangwaniSheria ya UEFA inasemaje endapo timu itakataa kwenda uwanjani mechi ya marudiano hatua ya mtoano?



Na mkifanya masihara goli 5 zinawahusu...wale jamaa hawachoki kufunga.Hatuna timu ya kupindua matokeo
Kipa - Ovyo
Mabeki - Takataka
Jognho - Mzigo, kiungo haina ubunifu
Washambuliaji - Danganya toto
Jamaa anamponda WILLIAN as if kama ni garasaNimefuatilia mjadala wa WILLAN hapa nashindwa kuelewa ubishani unatoka wapi? Kwani ni mara ya kwanza Chelsea kufanya biashara na Arsenal?
Mbona tumekuwa tukifanya biashara nzuri sana ya wachezaji:-
Ashley Cole,
Cech
Luiz (aliyetuua juzi kwa pasi zake ndefu kwa auba)
Mpira ni biashara na wachezaji wanatafuta maisha kufikia ndoto zao. Sioni dhambi willan kwenda Arsenal, Willan ni mchezaji mzuri naamini Arsenal mmefanya maamuzi mazuri kumchukua. Ataisaidia timu.
Arsenal inayo mshambuliaji hatare Auba
Willan + Auba = Many goals
Kilalaheri Willan.

Huyu mwamba mnasubiria nn?Hatuna timu ya kupindua matokeo
Kipa - Ovyo
Mabeki - Takataka
Jognho - Mzigo, kiungo haina ubunifu
Washambuliaji - Danganya toto
Bayer Leverkusen sporting director Rudi Voller on Kai Havertz:Jorginho Leo suspended pamoja na alonsoHatuna timu ya kupindua matokeo
Kipa - Ovyo
Mabeki - Takataka
Jognho - Mzigo, kiungo haina ubunifu
Washambuliaji - Danganya toto
Hata wafunge 20, this is footballNa mkifanya masihara goli 5 zinawahusu...wale jamaa hawachoki kufunga.



Kwa mpango huo ni wazi willian yuko njiani kutua emiratesBora leo academy wakajifanyie mazoezi huko Alienz Arena
Willy Caballero
Reece James ------------Toni Rudiger ---------Kurt Zouma ----------Emerson Palmieri
Mateo Kovacic ------------N'Golo Kante ------------Ross Barkley
Callum Hudson-Odoi -------------Tammy Abraham ------------------Mason Mount.
Mtuache na timu yeti
Kuna kwenye tweet fulani nimesoma mashabiki wa Chelsea wanamlalamikia zaidi kocha wa makipa na Lampard alishaomba kocha mwingine huko nyuma. Kwa hiyo tatizo kuu la Chelsea pia ni wasaidizi wa Lampard kwenye baadhi ya maeneo sio wazuriAnd the rest is poor records
Willian bado yuko majeruhi wala sio kwa sababu hiyoKwa mpango huo ni wazi willian yuko njiani kutua emirates
tumekaa kweli hahaDrone Camera nakusabahi. Karibu chamani kwetu maana leo huko kwenu mtakaaa 😆