Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,937
- 27,199
Sasa unachokataa nini? Anaenda kula pension yule. Huwezi kuniambia Arteta atamuweka Kipepe nje amuanzishe Willian atakua anaumwa pepopunda. Willian anajua keshafika mwisho wake so anatafuta kwa kwenda kuhifadhi ungese wake.Alafu anatokea pimbi mmoja anayeishi huku KWAMTIPULA eti anaenda kula pension,mimi nabaki kucheka kwa dhereu
![]()
Hivi hujiulizi mpaka ameamua kupunguza mshahara wake kwamba ana mapenzi sana na Arsenal?
Anajua kwa uwezo wake hakuna watu wenye akili timamu watafikia kukubaliana na matakwa yake.Anaenda kula pension.



