Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

uzuri wake wewe mwenyewe ukweli unaujua ila unakakamaza fuvu huku ukiomba dua nyingi sana isitokee hayo hahahahhahahaha yaani wachezaji wengi wa Bundesliga hasa wa kijerumani ndoto yao ya kwanza ni kucheza Bayern Munchen na mchezaji akiwa mkali Bayern hawamuachi, ukizingatia muda huu ambao Lewandosky akielekea maji ya jioni...........
Sasa mpaka Bavarian wamempotezea ujue hamna kitu hapo, jiandaeni kisaikolojia na Mitchy mpya
Cheki hyo
Screenshot_2020-06-29-10-30-31.jpg
 
Hapa wamepanga kwa upendeleo ili London tukose kombe ,maana Chelsea kibonde wake City, ila kwa nyumbu anatepeta,
Na Arsenal kibonde wake Nyumbu ila kwa City hali inakuwa mbaya sana.

Wangepanga Nyumbu vs Arsenal
City vs Chelsea

Kombe lingekiwa jijini London.

Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app

Ivo ivo unagopa nini?
 
Msimu mzima unaisha, hamuwezi kumpiga ma u, ndio mnaaga hivo mashindano


Kwanza hata city mkitaka kujua mlibahatisha njooni mkutane final muone atachowafanya

Nyie ni level za kina astonvilla tu
Unaweza kuwa uko sawa ndugu ila nyie lazima mtakuwa level ya Sunderland, simple logic
 
Msimu mzima unaisha, hamuwezi kumpiga ma u, ndio mnaaga hivo mashindano


Kwanza hata city mkitaka kujua mlibahatisha njooni mkutane final muone atachowafanya

Nyie ni level za kina astonvilla tu

Aiseeee acheni mpira wa midomoni mkuu.
 
Hahahaha, sasa kaka ukimuondoa Barkely hapo utampanga nani?

Gilmour? - huyu dogo azoee ligi taratibu tusimkomaze

Mount? - tangu turudi likizo ya corona kiwango chake hakijatulia

Joginho? - huyu unamjua hawezi kucheza kulia zaidi ya katikati

Advantage ya barkely mechi akiiotea anapambana kweli kweli, anaforce matokeo

Au tupange

Loftus Cheek....Kante......Kovacic
Heri Barkley kuliko RLC.

Hapo aanze Mount, dakika 60 apumzike aingie Barkley.

Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
 
Inabidi tumsajili kiungo playmaker mzoefu, kuwategemea sana mount, Barkely, LFC mwisho wa msimu tutaendelea kuwa wasindikizaji. Wabaki kama SUB


KOVACIC....KANTE.......PLAYMAKER
nikiingiaga humu jukwaani huwaga siachi kucheka maana mnavyodiscuss utasema Cash Money Forever ndio skaut mkuu, lembu ndio Lampard , innocent dependent ndio mshua Roman na Ollachuga Oc ndio Marina hahahahaha yaani mnajivika uhusika wenyewe kabisa nyie walimwengu ni kiboko
 
Hahahahaha, mwaka jana nilikuwa nimekaa bar flani naangalia game ya Liverpool na Arsenal. Mashabiki wa hizi timu wakawa wanabishana kwa hasira.

Kuna mzee wa umri alikuwa amekaa pembeni, akasema nyie mnabishana nini timu zenyewe zinacheza huko ulaya nyie huku mnataka kuuana, hata mkiuana wao hawatapata taarifa kwamba kuna shabiki Tanzania amuawa bar akiitetea timu.

Bora hata mimi mzee nashabikia simba hata nikiwa pale taifa nashikana mashati nikapigwa, wachezaji wanaweza kusema tulimuona mzee mwenye mvi anapigana jukwaani kwa ajili yetu twendeni tukamjulie hali muhimbili.
Hahaaaa ila alikuwa sahihi sana huyo dingi, ukifikiria sana unaweza ukajipigapiga kifuani na kusema mimi ni mpumbavu

Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
 
Hahahahahaaa wanafurahisha nyoyo zao tu, maana ata wa jadili vp hakuna ata moja litafanyiwa kazi. Ni kijiwe cha kupoteza mda tu
Yaani we acha tu, tunapata tabu sana sisi na haya mahaba ya hizi timu,
Utamkuta mwingine timu ikimvuruga basi hata chakula hali,

Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
 
Nimepitia comments zote mlizojadili jana. Zote naziunga mkono kwa maana kwamba timu ya ushindi lazima ishinde game yoyote iwe ngumu au rahisi.

Jana tumeshinda kibingwa baada ya 1st half mbovu. Hongera zimuendee Barkely kwa kutuvusha, aibu imuendee Abraham kwa kutupotezea muda pale mbele, kama mechi ya jana Werner aliangalia basi alikuwa anang'ata kidole.

Ushauri wa bure ningewapa uongozi wetu kuna haja ya kumuongezea willan mkataba angalau miaka 2, hatujui ZIYECH itamchukua muda gani kuzoea EPL. Uwepo wa Willan utamuintroduce Ziyech vizuri bila presha yoyote. Isitoshe odoi ni dhaifu sio wa kutegemea.

Nusu fainali itakuwa tamu sana, mechi ya kulipiza kisasi, nyumbu atakutana na simba aliyejeruhiwa tutamchanachana placenta.

London is blue
Suala la Willian Ni kwamba Chelsea wamempa mk
nikiingiaga humu jukwaani huwaga siachi kucheka maana mnavyodiscuss utasema Cash Money Forever ndio skaut mkuu, lembu ndio Lampard , innocent dependent ndio mshua Roman na Ollachuga Oc ndio Marina hahahahaha yaani mnajivika uhusika wenyewe kabisa nyie walimwengu ni kiboko
😂😂😂😂😂
 
uzuri wake wewe mwenyewe ukweli unaujua ila unakakamaza fuvu huku ukiomba dua nyingi sana isitokee hayo hahahahhahahaha yaani wachezaji wengi wa Bundesliga hasa wa kijerumani ndoto yao ya kwanza ni kucheza Bayern Munchen na mchezaji akiwa mkali Bayern hawamuachi, ukizingatia muda huu ambao Lewandosky akielekea maji ya jioni...........
Sasa mpaka Bavarian wamempotezea ujue hamna kitu hapo, jiandaeni kisaikolojia na Mitchy mpya
Hayo ni mawazo yako na sio ya Timo Werner
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom