Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Abraham
R.L. Cheek

Hawa wenzao wanapokuwa uwanjani wanacheza mechi, wao wanatakiwa wabaki uwanja wa mazoezi wanaendelea na mazoezi binafsi.
Abraham hawezi kabisa kudrible. kuna mpira aliupata easy dribling ilitakiwa ili ajiweke kwenye nafasi nzuri ya kufunga au ku assist akashindwa. Ajifue zaidi kwenye ufungaji la sivyo atakuwa hana msaada wowote uwanjani
 
So ni
London City vs Manchester City
Hapa wamepanga kwa upendeleo ili London tukose kombe ,maana Chelsea kibonde wake City, ila kwa nyumbu anatepeta,
Na Arsenal kibonde wake Nyumbu ila kwa City hali inakuwa mbaya sana.

Wangepanga Nyumbu vs Arsenal
City vs Chelsea

Kombe lingekiwa jijini London.

Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
 
Kiujumla game ya leo karibia timu nzima imecheza vibaya tukisema tutaje mchezaji mmoja mmoja walau watabaki wawili Kante na Pulisic ndio walikua juu. Kwa mtu aliye angalia mpira atakubaliana na mimi hatw kama Barkley ndio mfungaji ila yule jamaa naweza sema hastahili kuwa sehemu ya kikosi cha Chelsea. Ametucheleweshea ushindi leo. Kuna muda anapata mpirq anakosa kwa kuupelekela na kuna wachezaji wao kabisa kweny position lakini unashangaa kabutua. Emerson sijui kawaje nayeye, Mount leo alikua chini ya kiwango ni almost timu nzima hawakujituma ipasavyo
 
Hapa wamepanga kwa upendeleo ili London tukose kombe ,maana Chelsea kibonde wake City, ila kwa nyumbu anatepeta,
Na Arsenal kibonde wake Nyumbu ila kwa City hali inakuwa mbaya sana.

Wangepanga Nyumbu vs Arsenal
City vs Chelsea

Kombe lingekiwa jijini London.

Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
Hata iweje kombe linabaki London.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom