Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Hautaweza kunikumbusha kwa sababu aibu itakua imekutawala wakati huoSawa, nitakukumbusha
Hautaweza kunikumbusha kwa sababu aibu itakua imekutawala wakati huoSawa, nitakukumbusha
Hautaweza kunikumbusha kwa sababu aibu itakua imekutawala wakati huo
Huyo muoka mikate hana maamuzi ya haraka katika kutoa pasi wakiwa katika mashambulizi. Huyo dogo angekuwa na maamuzi ya haraka bila shaka angekuwa hatari kwenye assist.
Wengi hawamkubali Barkley lakini ametumika inavyopaswa na amecheza vizuri. Barkley yupo kwa ajili ya mashambulizi zaidi na ndicho kinatakiwa kwa sasa.Unamkubali kwa kipi alichofanya jana? Kafunga goli lakini kacheza game la hivyo kbs!!
Huyu Barkley na Tammy sio viwango vya Chelsea hapana wana mapungufu mengi hata kama wanafunga.......kwa mtizamo wangu ila mimi sio professionalPamoja na kufunga goli mashabiki wengi wanamponda Ross Barkley
Barkley's decision making and composure is so poor, we would've put the game to bed if he didn't turn into prime lingard after his goal
I know Barkley scored the winning goal, but man was his distributions bad....
Lampard amesema tumecheza vibaya mnoo. Tangu amekuwa kocha haijawahi tokeaHONGERENI SANA WANA BLUES KWA KUTINGA NUSU FAINALI. HILI KOMBE LETU
Nyie takataka tutawalamba hadi mshindwe kupumua..Nakutandika mara ya 4 hii
willian aliktaa miaka miwil yy antka mtatNimepitia comments zote mlizojadili jana. Zote naziunga mkono kwa maana kwamba timu ya ushindi lazima ishinde game yoyote iwe ngumu au rahisi.
Jana tumeshinda kibingwa baada ya 1st half mbovu. Hongera zimuendee Barkely kwa kutuvusha, aibu imuendee Abraham kwa kutupotezea muda pale mbele, kama mechi ya jana Werner aliangalia basi alikuwa anang'ata kidole.
Ushauri wa bure ningewapa uongozi wetu kuna haja ya kumuongezea willan mkataba angalau miaka 2, hatujui ZIYECH itamchukua muda gani kuzoea EPL. Uwepo wa Willan utamuintroduce Ziyech vizuri bila presha yoyote. Isitoshe odoi ni dhaifu sio wa kutegemea.
Nusu fainali itakuwa tamu sana, mechi ya kulipiza kisasi, nyumbu atakutana na simba aliyejeruhiwa tutamchanachana placenta.
London is blue
Hahaha lazima matumbo yawake moto. Linapokuja suala la kubeba kombe huwa hatuna cha msalia mtume..Timu zote zilizo ingia nusu fainal tumbo joto make chelsea hana tabia ya kutoka msimu mzma kapa
London for FA
Mnasemaga hivi hivi alafu mwisho tunawapiga 4 - 0, hamna mechi rahisi kwa OGS kama kucheza na nyieNimepitia comments zote mlizojadili jana. Zote naziunga mkono kwa maana kwamba timu ya ushindi lazima ishinde game yoyote iwe ngumu au rahisi.
Jana tumeshinda kibingwa baada ya 1st half mbovu. Hongera zimuendee Barkely kwa kutuvusha, aibu imuendee Abraham kwa kutupotezea muda pale mbele, kama mechi ya jana Werner aliangalia basi alikuwa anang'ata kidole.
Ushauri wa bure ningewapa uongozi wetu kuna haja ya kumuongezea willan mkataba angalau miaka 2, hatujui ZIYECH itamchukua muda gani kuzoea EPL. Uwepo wa Willan utamuintroduce Ziyech vizuri bila presha yoyote. Isitoshe odoi ni dhaifu sio wa kutegemea.
Nusu fainali itakuwa tamu sana, mechi ya kulipiza kisasi, nyumbu atakutana na simba aliyejeruhiwa tutamchanachana placenta.
London is blue
OGS anakuja kuwanyoosha kwanza, hata city hamtakutana naeNataka tukutane fainali na city tumpe kipigo kingine heavy






Huyo Werner akija msije anza kumrushia makopo maana mnavyompamba utasema ana tofauti kubwa na Mitchy....hahahahaaaaa mpira hauchezwi midomoni na hii ndio EPL,Nimepitia comments zote mlizojadili jana. Zote naziunga mkono kwa maana kwamba timu ya ushindi lazima ishinde game yoyote iwe ngumu au rahisi.
Jana tumeshinda kibingwa baada ya 1st half mbovu. Hongera zimuendee Barkely kwa kutuvusha, aibu imuendee Abraham kwa kutupotezea muda pale mbele, kama mechi ya jana Werner aliangalia basi alikuwa anang'ata kidole.
Ushauri wa bure ningewapa uongozi wetu kuna haja ya kumuongezea willan mkataba angalau miaka 2, hatujui ZIYECH itamchukua muda gani kuzoea EPL. Uwepo wa Willan utamuintroduce Ziyech vizuri bila presha yoyote. Isitoshe odoi ni dhaifu sio wa kutegemea.
Nusu fainali itakuwa tamu sana, mechi ya kulipiza kisasi, nyumbu atakutana na simba aliyejeruhiwa tutamchanachana placenta.
London is blue
Yan ni mzito kufanya maamuzi. Japo kaingia kipindi cha pili lakini yeye ndio kaongoza kupiga mashuti kuelekea golini. Sasa hiyo mibutuo angekua anatoa pass si tungeacha hata kutoa lawama kwa kina Tammy. Barkley jana kazingua mnoHuyo muoka mikate hana maamuzi ya haraka katika kutoa pasi wakiwa katika mashambulizi. Huyo dogo angekuwa na maamuzi ya haraka bila shaka angekuwa hatari kwenye assist.
Msimu mzima unaisha, hamuwezi kumpiga ma u, ndio mnaaga hivo mashindanoTumeshinda mechi 5 mfululizo ikiwemo kuwachakaza Liverpool & city. Nyumbu ni nani mbele ya Chelsea motoView attachment 1491899





Kapimwe akili wwMsimu mzima unaisha, hamuwezi kumpiga ma u, ndio mnaaga hivo mashindano
Kwanza hata city mkitaka kujua mlibahatisha njooni mkutane final muone atachowafanya
Nyie ni level za kina astonvilla tu
![]()
uzuri wake wewe mwenyewe ukweli unaujua ila unakakamaza fuvu huku ukiomba dua nyingi sana isitokee hayo hahahahhahahaha yaani wachezaji wengi wa Bundesliga hasa wa kijerumani ndoto yao ya kwanza ni kucheza Bayern Munchen na mchezaji akiwa mkali Bayern hawamuachi, ukizingatia muda huu ambao Lewandosky akielekea maji ya jioni...........Dully bana naona unatuletea stress zako za Lacazette mchezaji anagaragara chini kama linguruwe pori limechomwa mkuki wa shingoni.
kutoka kushoto waliosimama ni Antonio Martial, Odion Ighalo na Marcus Rashid.............picha ni kwa hisani ya maktabaTumeshinda mechi 5 mfululizo ikiwemo kuwachakaza Liverpool & city. Nyumbu ni nani mbele ya Chelsea motoView attachment 1491899
Hzo ni porojo tu Werner aliapa hatocheza Bayern munich sio kwamba walimpotezea....mifano IPO mingi wachezaji Wa kijerumani kama reus walikataa kwenda bayernuzuri wake wewe mwenyewe ukweli unaujua ila unakakamaza fuvu huku ukiomba dua nyingi sana isitokee hayo hahahahhahahaha yaani wachezaji wengi wa Bundesliga hasa wa kijerumani ndoto yao ya kwanza ni kucheza Bayern Munchen na mchezaji akiwa mkali Bayern hawamuachi, ukizingatia muda huu ambao Lewandosky akielekea maji ya jioni...........
Sasa mpaka Bavarian wamempotezea ujue hamna kitu hapo, jiandaeni kisaikolojia na Mitchy mpya