Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Werner + Abraham = Disappointed

Abraham mzee wa kujiangusha, kupoteza mpira na poor ball finisher.

Werner acheze na Giroud, Giroud mzuri kwenye kusoma mashambulizi, kujiposition na kutoa assists/kufunga.
Naunga mkono hoja
Giroud ni playMaker kule mbele tofauti na Abraham japo Abrahama kuna formation bado zinamfaa sana
Mfano
Giroud sio mzuri kwenye loose balls na kujiposition
Abraham sio mzuri kwenye playmaking kama Giroud
Kwa sababu ya umri Tammy ni mwepesi tofauti na Giroud move za kasi hataziweza japo Giroud ni mzuri kwa mashambulizi ya short passes hata kama ni za kasi
Muhimu ni kocha ajue namna ya kutumia hizo rasilimali
 
Kai Havertz
MORE THAN RONALDO AND MESSI
Huyu dogo nilijuaga Arsenal watamsajili kabla ya msimu huu kuanza tena wakati ule sisi tumefungiwa usajili. Alishaonyesha dalili kitambo za kuja kuwa potential. Ila kumpata kwa sasa ni kazi sana maana Madrid fungu waliloandaa si rahisi dogo kuchomoa.
 
................Werner................

Pulisic.....Havertz......Ziyech

Sub:- Odoi, Cheek, Mount, Giroud, Abraham

Kwenye lile Fungu £200M lilitolewa January la usajili tumeshatumia 90 baki 110M

Boss akiongeza kama 100M

Tumsajili:- Havertz na beki ya kushoto tufunge usajili msimu huu

Dirisha la January tusajili Centre Back Mmoja

Fayaaaaaaaaaa
Wewe unataka mabeki wawe wanaingia uwanjani na pampers?
 
Hahahaha wafe kabisa uwanjani, Chelsea ni club ya makombe, sasa ifike mwisho wa kuburuzwa na Liverpool na City.

Sasa tunahitaji kubeba kombe la EPL na UEFA. Lampard alishakuwa mchezaji anajua nini maana ya kuwa na kikosi bora cha kubeba mataji.
Ni kweli unachosema. Lakini Tunahitaji stability pia klabuni. Wamjengee kocha confidence. Wale watoto ni kama simba mbarara. Wakiaminiwa wakatupwa uwanjani wakaambiwa walete matokeo, watararua teams balaa.
Liver pamoja na kwamba walitufunga, hawakuwa wagumu sana msimu huu. Msimu ujao wajiandae sana.
 
................Werner................

Pulisic.....Havertz......Ziyech

Sub:- Odoi, Cheek, Mount, Giroud, Abraham

Kwenye lile Fungu £200M lilitolewa January la usajili tumeshatumia 90M (Ziyech +Warner) baki 110M

Boss akiongeza kama £100M

Tumsajili:- Havertz na beki ya kushoto tufunge usajili msimu huu

Dirisha la January tusajili Centre Back Mmoja

Fayaaaaaaaaaa
Mzee baba kila kitu ni process na progress. Hayo yote hayawezi kutokea kwa wakati mmoja au kwa haraka ivyo. Unaweza kufanya usajili wote huo ukasababisha internal conflicts kati yao wenyewe mwisho wa siku unakuta badala ya kujenga ndio unaharibu kabisa.
 
hahahaha Simba mbarara

Ni kweli unachosema mdau, ni kuendelea kujengewa confidence mfano mzuri ni Mount na Glimour. Hawa madogo wanapanda vizuri.

Odoi + Tammy wasibweteke na waache kujiona masupastar, bado wanasafari ndefu sana kufikia mafanikio, wabadilike na wajitume.
Sijui ni mimi tu nawaonaga hivo, lakini it's like Tammy na Odoi at times ni moody. Kitu ambacho kinaweza ku derail their development
 
Sasa mkuu tusisajili kisa tunaogopa internal conflicts? Kama ni conflicts ingetokea kwa Man city namba 1 ina wachezaji zaidi ya 3.

Hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya club. Usajili ufanyike mchezaji apambanie namba tupate ubora wake ndio itapelekea mafanikio kwa timu.
Halafu pia mechi zipo nyingi sana. Kila mtu atapata nafasi ya kucheza. Hizi mechi 3 kwa wiki ni exhausting. Ukiwa na team yenye subs kama ulivyoweka hapo juu ni safi kabisa.
 
SOMENI COMMENT YA HUYU JAMAA

Am not a Chelsea fan, But I will like to comments like a football analyst.

To those saying Lampard should sell Jorginho I think that is a very wrong idea.
Lampard want Chelsea to dominate their opponents and without a player like Joginho that will be very difficult to achieve.

What Chelsea is seriously in need of is a creative midfielder and a central defender.

If you are selling Joginho who is a holding midfielder and a good passer of the ball, then you should look for another player in his like to replace him.

For instance

When Arsenal and Chelsea met at the Emirate; in the first 35min Arsenal dominated Chelsea, Lampard quickly dismantle his formation and brought in Joginho then Chelsea began to dominate after that.

And that is what am trying to explain here.
Mi nakubaliana na maoni hayo. Ni afadhali hata amuuze Kante kuliko Jorginho. Kante wameshamharibu, haelewi kitu tena. Nafasi alizobakiza hapo uwanjani kucheza ni goli kipa tu. Mateo na Jorginho (RLC na Mount) wanaweza kuleta matokeo mazuri.
 
Mi nakubaliana na maoni hayo. Ni afadhali hata amuuze Kante kuliko Jorginho. Kante wameshamharibu, haelewi kitu tena. Nafasi alizobakiza hapo uwanjani kucheza ni goli kipa tu. Mateo na Jorginho (RLC na Mount) wanaweza kuleta matokeo mazuri.
Mimi naona ugumu kumuweka RLC kwenye midfield, yeye ni mshambualiji kwa kweli ni afadhali hata tukamuita winga au attacking midfielder
Nakubaliana na wewe Kante huyu sio yule wa makombe tena labda afufuke, japo Kante bado tunamuhitaji ila tukimtaka creative midfielder ni lazima Barkley na mmojawapo kati ya hao watatu (Jo, KOVA na Kante auzwe). Na katika hao watatu, ambaye hatumiki kisawasawa ni Kante tu!
Mount ni mdogo, potential na anacheza namba nyingi. Yuko so flexible, huyu wala Chelsea isimfikirie kumuuza tutakuja juta sana
 
Tammy, Odoi, Mount, Pulisic, Gilmour hizi ni bunduki kali za baadaye wala mmojawapo asiuzwe. Tuijenge Chelsea hao wakiwemo
Mfano
Tammy atafundishwa ustriker na Timo
Pulisic atafundishwa pia na Ziyech na Timo
Odoi sasa atafundishwa mpira na Ziyech
Natumai Willian ataendelea kuwepo ili awafundishe hao wingers wadogo mpira
Gilmour yeye anahitaji tu uzoefu na confidence ili awe consistence kwenye uchezaji. Yaani alivyoanza amaitain hivyo hivyo
 
Mimi naona ugumu kumuweka RLC kwenye midfield, yeye ni mshambualiji kwa kweli ni afadhali hata tukamuita winga au attacking midfielder
Nakubaliana na wewe Kante huyu sio yule wa makombe tena labda afufuke, japo Kante bado tunamuhitaji ila tukimtaka creative midfielder ni lazima Barkley na mmojawapo kati ya hao watatu (Jo, KOVA na Kante auzwe). Na katika hao watatu, ambaye hatumiki kisawasawa ni Kante tu!
Mount ni mdogo, potential na anacheza namba nyingi. Yuko so flexible, huyu wala Chelsea isimfikirie kumuuza tutakuja juta sana
Uko sahihi RLC ni attacking midfielder. Kwasababu ya stamina yake anaweza cheza hata namba 9 .

Nadhani sasa kwasababu tunao vijana wa kutosha, wasichezeshe watu out of position. Hii kitu Mourinho aliitumia akaharibu wachezaji wengi sana. Sasa hivi naona nafasi moja haina chini ya wachezaji 2.
 
Tammy, Odoi, Mount, Pulisic, Gilmour hizi ni bunduki kali za baadaye wala mmojawapo asiuzwe. Tuijenge Chelsea hao wakiwemo
Mfano
Tammy atafundishwa ustriker na Timo
Pulisic atafundishwa pia na Ziyech na Timo
Odoi sasa atafundishwa mpira na Ziyech
Natumai Willian ataendelea kuwepo ili awafundishe hao wingers wadogo mpira
Gilmour yeye anahitaji tu uzoefu na confidence ili awe consistence kwenye uchezaji. Yaani alivyoanza amaitain hivyo hivyo
Jana Tino Anjorin pia alisaini mkataba wa miaka 5. Hao ndio simba mbarara niliosema mwanzo.
 
Kante au Joginho mmojawapo ataondoka.

Joginho akibaki beki ziboreshwe haswa. Wasajiliwe beki visiki. Kubeba madhaifu ya Jognho kwenye ukabaji.
Nimesoma mahali wanasema wataondoshwa wote wawili ili vitabu vibalance watakapomnunua Harvetz. Tena wanasema siyo vigumu kuwauza maana Kante (PSG) na Jorginho (Juve), wanasubiria hiyo fursa hiyo kwa hamu sana.
 
Aisee endapo hili dili likifanikiwa msimu ujao watu lazima walie kilio cha mbwa koko
Timu nyingi sana zitafungwa kwa hofu. Tukiwa sekondari miaka ile tulikuwa na jamaa anapiga danadana dk hadi 20 hajapumzika wala kudondosha mpira. Uwanjani hakuna kitu . Tukicheza na timu ambazo hazitujui tunawapiga magoli ya kutosha. Jamaa anapiga danadana zake huku akipasha kipindi cha pili dk za mwishomwisho, akiingia wanamkaba yeye tu huku wengine wakijipigia mabao
 
Nimesoma mahali wanasema wataondoshwa wote wawili ili vitabu vibalance watakapomnunua Harvetz. Tena wanasema siyo vigumu kuwauza maana Kante (PSG) na Jorginho (Juve), wanasubiria hiyo fursa hiyo kwa hamu sana.
Huko nyuma niliongelea swala la Kante kuuzwa bado akiwa na bei tulete wachezaji wanaoendana na falsafa ya Lampard nikashambuliwa na wanaojua humu, sasa ukiongeza Jo na Kante wanaondoka un aweza kutolewa macho
 
Barcelona have tried to tempt Chelsea into signing Philippe Coutinho this summer but the Blues have rejected approach as they reportedly want to spend that money on Bayer Leverkusen star Kai Havertz.
Afadhali. Huko ni kuuziana mbuzi kwenye gunia. Acha wanunue simba mbarara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom