Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Of course ban imetuathiri kiasi Fulani tusingekuwa na wachezaji hao ila kwa leo na history tulionayo naamini Bayern wataona pachungu Stamford bridge hata hao wachezaji unaowaona hawana quality Leo watapandisha viwango vyao.
Kweli tumeona wakipandisha viwango vyao

[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Barkley ni mzuri, sema leo hayuko kwenye form. Kuna haja ya Willian na Pedro kuingia kumpa hamasa Giroud. Pengo la Kante linaonekana live. Kovacic hatembei kama ada yake. Jorginho, Mount, James, Chrisesten na Rudiger safi.

Bayern ya leo wanafungika kabisaa!
Na KWELI wamefungika kirahisi hata Mimi nimeona
 
Hapa ndo tunauona ukweli..

Kikosi chetu cha sasa wacheezaji wengi ni average players wanastahili kichezea timu ndogo.. Jezi ya chelsea ni kubwa sana kwao..

Kingine, saiv wachezaji wetu wengi hawajitoi 100%,, nadhani ni muda sasa qa kufanya overhaul ya kikosi.. Vinginevyo kila big match matokeo chanya yatakua ni kama miujiza ...


Also,, niliwai kusema na kuna mtu alinibishia sana humu ndani.. Chelsea sasa hivi ni wabovu sana kwenye set pieces,, sijui lampard kama analiona hili swala, yaani ikipatikana kona unajua kabisa 50% tumefungwa... We are too weak kwakweli kwenye set pieces

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X606B using Tapatalk
 
Pigaaa mbuzi hawa [emoji28][emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X606B using Tapatalk
 
Chelsea ni kama kikundi cha madereva bajaji waliojikusanya wakapashe baada ya kupiga mishe zao.

Hakuna kitu, kuanzia kocha mpaka asilimia 80-90 ya wachezaji, hivi mtu kama Mason Mount anaweza akaanza timu gani kubwa yenye mpango wa kuchukua kombe lolote kubwa ulaya ?

Hapo sijamtaja caballero , giroud , james na wapuuzi wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom