Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,979
- Thread starter
- #69,621
Ingekuwa ni Kepa tungekuwa nyuma kwa goli 3-0
Caballero mimi napenda sana anavyotokea mipira yapo kuna muda anatoka bila mahesabu kabisa
Ingekuwa ni Kepa tungekuwa nyuma kwa goli 3-0
Naomba link ya kuangalia hii game please
Huyu kijana aliyepewa jezi no 8 siyo wa kutolewa bali ni wakufukizwa kabisa klabini Chelsea. Mchezaji mzembe na mzito kama malkia wa nyuki.
Barkley ni mzuri, sema leo hayuko kwenye form. Kuna haja ya Willian na Pedro kuingia kumpa hamasa Giroud. Pengo la Kante linaonekana live. Kovacic hatembei kama ada yake. Jorginho, Mount, James, Chrisesten na Rudiger safi.Huyu kijana aliyepewa jezi no 8 siyo wa kutolewa bali ni wakufukizwa kabisa klabini Chelsea. Mchezaji mzembe na mzito kama malkia wa nyuki.
Naona kama ni mbinu japo bado wa hezaji wana uzito fulani.So far tumejilinda japo confidence hakuna kabisa, wao wanamiliki mpira 69% ile pressing imekwenda wapiu AU ndio tactical game nini?
Hii meseji mbona sipewi Majibu?naomba Majibu tafadhalini wadauMazishi ni wapi ndugu zangu?Stamford bridge au tutazikia Allianz Arena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu nieleke namna ya kwenda kwenye mechi maana nimejaribu nimeshindwa nimebonyeza game ya Chelsea vs Bayern lakini uko mbele Kuna ads nyingi mpaka nimeshindwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Gnabry anawataka nn hawa waingereza last season Spurs aliwafanya vibaya saiz anataka kuwafanyia nn tena blues [emoji26]Shughuli imeisha!
Tunazikia hapa hapa stanford tumeona kusafirisha hadi allianz gharama sana.