Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ya kweli hii hapa, hakuna cha Willian
1582657584551.png
 
3-4-3 na 3-4-2-1 ni mfumo ule ule sijui kwanini huwa wanaandika tofauti

Yeah! Ni mfumo ule ule ila nadhani unaandikwa 3-4-2-1 ili kuonesha kuwa hao watatu wa mbele, mmoja wao anasogea mbele kidogo na wawili wanacheza nyuma yake wakiwa wamefinya uwanja

Nadhani ni ili kurahisisha tu mtu kuelewa haraka kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom