Akirudi always atachezeshwa ATTACKING MIDFIELDER ambayo sio nafasi yake.
Otherwise hiyo 4 - 3 -3 wacheze Kovacic, Joginho na Mount, kuliko kumchezesha KANTE 4 -3-3 halafu acheze attacking mildflider nafas ambayo hachezi kwa ubora/comfortable.
Na ukisema kwamba Kante hachezi vizuri kwenye defensive fahamu kwamba ubora wake unashindwa kumatch na anaocheza nao katikati.
Katika game ambazo kante amecheza kama dm zote tulielewa mfano mzuri ni game ya arsenal round ya 1 ambayo tulianza na kova na kanteKANTE leo wa kuuzwa? Badala ya kuuzwa mvivu Joginho? Kweli maisha yanaenda kasi sana. Kante arudishwe kucheza nafasi yake defensive midfielder. Asajiliwe attacking midfielder.
Umeniqoute vibaya rejea hiyo post yangu hakuna mahali nimetaja 3-4-3 wala 4-2-3-1.
Nimeongelea kwenye mfumo wa 4-3-3 kwamba hakuna haja ya kumchezesha KANTE as an attacking midfielder nafasi ambayo anaonekana anacheza chini ya kiwango.
Kwanini joginho asicheze as an attacking mildflider kwenye 4-3-3? Why Kante?
Kovacic - Kante - Joginho
Matic - Kante - Fabrigas
Hahaha kwahiyo kwenye mfumo wa 4-3-3 KANTE anatolewa mbuzi wa kafara kucheza attacking midfielder?
Sent using Cash Money Wings
Kumuuza kante sio sahihi lbda auzwe barkrey then anunuliwe attacking midfielder mmojaKwa mazingira hayo mkuu lembu, kwamba kwa kuwa KANTE anatolewa mbuzi wa kafara kucheza attacking midfielder, unashauri auzwe ili asajiliwe attacking mildflider? au auzwe kuwapisha Kovacic - Joginho - Barkely katikati? Which is which?
Sent using Cash Money Wings
Lampard anashindwa kumpatia kante kutokana na nafasi anayomchezesha.Maoni yangu kwa mechi ya jana Chelsea VS Spurs
Kuna wakati Rudiger hayuko serious, goli la Maguire alifanya blunder, jana tena sikujua alikuwa anadefend nini hata kama ni bahati mbaya mpira ulimbabatiza
Alonso jana alicheza vizuri sana kama Wing-back ila kuna incident kama mbili hivi alirudi kwenye ujinga wake wa kuzubaa mpaka akapitwa na opponent wake
Kule mbele Barkley anajua kuutendea mpira haki japo generally bado Barkley ni mzito na anachoka haraka
Goli la pili wachezaji watatu, Mount, Barkley na Alonso walishirikiana vizuri na lile goli la Alonso ni superb
Katikati nilichogundua Kante hana chemistry nzuri na Jorgin ila Kova anayo
Tukipata pesa ndefu Kante auzwe ili tumlete mtu mwenye chemistry nzuri na timu.
GK Caba kacheza vizuri jana, kaokoa magoli ya wazi kama mbili hivi, ila tu naona goli la OG l;a Rudiger angekuwa fast tu kidogo angeweza kutoa nje ule mpira na kumaitain cleansheet.
Tammy Abraham ile mentality yake ya mwanzo naona imepoa japo mimi binafsi bado namuamini sana Abraham, ni kijana mdogo, career ya mpira bado ni ndefu kwake, ana mambo mengi ya kujifunza kwa wazoefu kama Giroud lakini sio kwa Batsuayi ambaye ni striker mvivu kupata kutokea. Aende tu kwenye ligi ndogo labda huko ataperform
Kovacic sijawahi ona anakosea tatizo kubwa la Kova anawahi kuchoka. Anahitaji mazoezi zaidi kuweza kuhimili dakika zote 90+30'
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tutawazuia hawa Joshua Kimmich, Thos Muller na Coutinho basi game tumeiweza. Nasema hao kwa sababu kama watazuilika kisawsawa basi jua kuwa umeizuia Bayern kufanya mashambulizi ya hatari lakini pia umemzuia Lewandowski kupokea mipira.Yes tunaogopesha, let's go blues View attachment 1367739
Nakuunga mkono asimilia 💯 ila yule Lampard Kuna wakati anakuwa mpuuzi utashangaa ataanza na Abraham, Giroud atamuweka benchi hapo ndo anaponichosha Lampard.Mfumo wanaocheza Bayern ni 3 - 4 - 2 - 1
Nadhani tuingie na mfumo wa 3 - 4 - 3 twende nao sambamba.
Pulisic - Giroud - Willan
Alonso - Kovacic - Joginho- Azipiculeta
Rudger - Christensen - JamesView attachment 1367824
Sent using Cash Money Wings
Mkuu game ya kesho mi nadhani hakuna haja ya kujaza watu wengi mbele. Tucheze kwa kukaba zaidi then mbele tucheze na mastiker wawili huku Giroud akicheza chini ya Tammy. Nikiwa na maana Tammy ndio atakabwa zaidi huku muuaji awe Giroud.Mfumo wanaocheza Bayern ni 3 - 4 - 2 - 1
Nadhani tuingie na mfumo wa 3 - 4 - 3 twende nao sambamba.
Pulisic - Giroud - Willan
Alonso - Kovacic - Joginho- Azipiculeta
Rudger - Christensen - JamesView attachment 1367824
There is first time for everything. Hata sikuambayo ingekua mara ya kwanza kutumia ungeuliza ivyo ivyo. Hapo kwenye nafasi ya Tammy anaweza ingia WillianHuu mfumo 4-4-2 Lampard ameshawahi kuutumia kabla?
Willan na Giroud itapendeza wakiingia kikosini tunahitaji uzoefu wao.
Mfumo unatakiwa hapo ni 3-4-3 willian na Giroud wanakiwa waanze Lampard aache mahaba yake kwa Abraham.There is first time for everything. Hata sikuambayo ingekua mara ya kwanza kutumia ungeuliza ivyo ivyo. Hapo kwenye nafasi ya Tammy anaweza ingia Willian
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kuhalisia unadhani atampanga nani na nani kuziba nafasi za Mont na Barkley? Ndio maana nikasema ni aidha mmoja wao au wote wakaanza kikosi cha kwanza.Hii mechi Lampard akipanga kikosi kimahaba tutaangukia pua. Bayern tutawafunga kimbinu zaidi, other factors like uzoefu na quality ya mchezaji mmoja mmoja zije baadae.
Dah kazi ya ukocha ni ngumu aisee hahahah, ila naamini Lampard atakuja na game plan nzuri.
Yeah siyo mbaya piaMfumo unatakiwa hapo ni 3-4-3 willian na Giroud wanakiwa waanze Lampard aache mahaba yake kwa Abraham.
Yeah. Ila kesho tunahitaji viungo wengi zaidi kuweza kuwadhibiti hawa jamaa. Otherwise inaweza kuwa Jumanne ya majivu. Lazima tuitetee London waliopewa dhamana walishashindwa kitambo.Kama ni mmojawapo lazima awepo basi awe Mount