rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 6,653
- 9,103
. Majeruhi.
Hivi Pulisic kapotelea wap wazee
Si unaanziwa wewe leo
[emoji23][emoji23] analeta dharau zake kwenye uwanja wenu..embu muulize mara ya mwisho mlivokutana na manyumbu mlichakazwa ngapi?!
Unao uhuru mkuu, ila unapotafsiri vibaya mawazo ya mtu mwingine haitakuwa na afya na mimi nimebase hapoKusoma akili yako ili iweje? Kila mtu anatoa mawazo/maoni kwa kile anachokiamini katika ushabiki wake, sihitaji kusoma akili zako.
Sent using Cash Money Wings
Sikutegemea kama ungejibu hivi. Katika civilized world ukitafuta kwanza kumuelewa mwenzako ndio msingi wa mawasiliano. Sasa wewe unacomment mawazo yangu na huku hutaki kunielewa kwa umbrella ya ushabiki sasa unataka nini? Ushabiki sio ticket ya kusema chochote, hata kama unatofautiana na mimi, uelewe kwanza kwani yaweza kuwa tuko pamoja ila kwa sababu ya kushindwa kunielewa unaaza tu kupinga from no whereKusoma akili yako ili iweje? Kila mtu anatoa mawazo/maoni kwa kile anachokiamini katika ushabiki wake, sihitaji kusoma akili zako.
Sent using Cash Money Wings
Nionyeshe mahali nimekupinga pale nilipokukomentWewe ndio umeanza kucomment maoni yangu. Na comment yako imekaa mrengo wa kushoto, nafahamu kabisa ushabiki wako umelalia wapi.
Mawazo yetu hayawezi kufanana kwa kile unachokiamini brother. Ndio maana nimekujibu sihitaji kusoma akili yako kwa sababu nafahamu tumetofautiana kwenye mitazamo ya ushabiki kwa kile tunachokiamini.
Na hii sio mara ya kwanza.
All ni all tunajenga nyumba moja hakuna haja ya kukandamiza maoni ya mwingine kwa kuwa haamini kile unachokiamini.
Tembelea platform zote za Chelsea, comments zinatofautiana kulingana na mitazamo ya mashabiki, sio kwamba kwa kuwa sisi ni mashabiki wa Chelsea basi tuwe na mtazamo unaofanana kiushabiki. Haiwezekani.
Sent using Cash Money Wings
Hii mechi ya leo ni mechi ya Mentality VS Mentality, tukiwa low kwenye mentality tutafungwa, tukiwa na positive mentality tutashindaMkuu wangu hujanipinga ila unataka niamini kile wewe unachokiamini. Embu tuyaache haya
Leo tuna big match hakuna haja ya kulumbana now. Embu tufocus kwenye game ya baadae.
Lete analysis kuelekea mechi ya baadae. Nafahamu uko vizuri kwenye analysis.
Sent using Cash Money Wings
😄😄😄😄😄 Mzee baba naona upo nyuma sana
Kwenye nafasi ya Christensen acheze Tomori au zouma ndo itakuwa fresh.Wazee Hapo vipi leo?
Odoi - Tammy- Willan
Alonso - Kovacic - Kante - James
Rudger - Christensen - Azipuleta
Sent using Cash Money Wings
Kuna wengi wanabashiri Jorginho anaweza asicheze kwa sababu niu Liability Chelsea inapocheza na Man United. Jorgi sio mzuri kwa counter attack kwa sababu hasomi mchezo kama KanteChelsea predicted XI (4-3-3):
Willian - Abraham - Hudson-Odoi
Kovacic - Jorginho - Kante,
Azpilicueta - Rudiger - Christensen - James,
Kepa