DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Na matusi yamo????Kwa hiyo kipa unamuona ni mtu pale? Yaani huyu kepa ni mpumbavu sana always maamuzi yale yakijinga yanacost timu kumanina zake huyu.
Na matusi yamo????Kwa hiyo kipa unamuona ni mtu pale? Yaani huyu kepa ni mpumbavu sana always maamuzi yale yakijinga yanacost timu kumanina zake huyu.
Labda bingwa wa mauno.Chelsea bingwa msimu huu
Joginho ana umuhimu wake sana huwa anatuliza presha na patnership yake na kovacic ilishaclick. Walikuwa wanatawala katikati kuzuia na kupandisha mashambulizi Mount wa nini sasa poor unoka.
Hata partneship ya zouma na tomori ilishaclick tungeenda nao hivyo hivyo hope tungepata matokeo.
Azipuleta kumpeleka kushoto was big mistake tungemuacha emerson na alonso tuu. Timu ingejitahidi kubeba madhaifu yao
Sijajua nini kimemkumba pulisic hafungi tena.
From top to bottom here we are.
Huyu itamchukua siku mbili mpaka tatu kujitokeza tena hapa....EvertonPiga mbuzi hawa Ollachuga Oc
Luiz atawafaa sana kumbukeni ndio kawapa ubingwa wa mwisho....na toka atoke hapo imekuwa hahahahahahahahahahaha just hahahahahahahaahhahahahahahahahahaMech ya leo nilisema tangu mapema itakuwa ngumu
Tunafungwa magoal ya kizembe
Rudiger arudi then tusajil beki mwingine wa kati na pembeni

Amkeniiii amkeniiii amkeniiiiii bwanaaaaa wamefungwa tena bwanaaaaaa uuuuuuu hahahaaaaaaaaaa

Kuna wachezaji ni wapuuzi sijapata kuona. Kwa magoli haya tutaanza kumlaumu Lampard kwel?
Zouma ni mpuuzi sana