Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Joginho ana umuhimu wake sana huwa anatuliza presha na patnership yake na kovacic ilishaclick. Walikuwa wanatawala katikati kuzuia na kupandisha mashambulizi Mount wa nini sasa poor unoka.

Hata partneship ya zouma na tomori ilishaclick tungeenda nao hivyo hivyo hope tungepata matokeo.

Azipuleta kumpeleka kushoto was big mistake tungemuacha emerson na alonso tuu. Timu ingejitahidi kubeba madhaifu yao

Sijajua nini kimemkumba pulisic hafungi tena.

From top to bottom here we are.
Nimeangalia mpira kwa dakika 10 za mwisho aseeh nimebreka vibaya tena naanza kuangalia ndio nashuhdia tunapigwa goli la tatu. Hivi inakaje beki anafanya uzembe kama ule na hawa ndio wanasababisha Kepa analaumiwa. Lampard afanye maamuzi mazuri kumuacha nje kiungo anayefanya vizuri siyo maamuzi mazuri.

Nawaza anadhamiria nini? Bado sielewi
 
Mech ya leo nilisema tangu mapema itakuwa ngumu

Tunafungwa magoal ya kizembe
Rudiger arudi then tusajil beki mwingine wa kati na pembeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom