Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vile ulivyoandika utadhani ukishajibiwa achukuliwe hata ditram nchimbi utaweza kumnunua...hahahaaaaaa

Eti tumchukue nani aiseeeeehhhh....!
Mtani naona umeumia kwa Chelsea kufunguliwa kifungo nasikia teyali uko lampard kashapewa paundi mil 200 za usajili kazi imebaki kwake tu.
 
Chelsea wachezaji wengi wanashindwa kufungwa kwa set pieces... chances zinatengenezwa nyingi lakini ndo hivo tena...
Tomori ni mfupi, tunapata shida sana kwenye mipira ya juu, kwa maana pale chelsea wachezajivwengi ni wafupi..

Ndio maana christensen anapata nafas, hata alonso angepata nafas sana, ila yule ni kilaza wa mwisho kwenye kukaba
 
Je wameturuhusu kusajili kwa January pekee au mpaka dirisha kubwa la usajili?
Kwani na hilo dirisha kubwa unalolitaja tulifungiwa? adhabu ilikuwa madirisha miwili ya msimu uliopita na huu wa January. Sasa tumetumikia moja na hili la pili ndilo tulilosamehewa. Hilo linalofuata la kiangaza tulikuwa huru hata tusingesamehewe
 
Lampard kweli mwanaharamu, mchezaji akiboronga tu nje, Tomori na Emerson bado wako bech
Chelsea vs Everton 7-12-19.jpg
 
Chelsea wachezaji wengi wanashindwa kufungwa kwa set pieces... chances zinatengenezwa nyingi lakini ndo hivo tena...
Set pieces inahitaji high level ya concetration kitu ambacho hawafanyi, n I Kante tu, Kepa anaongoza kwa kutokuwa makini
 
Hao jamaa wamefukuza kocha wanataka matokeo mazuri. Na wapo nyumbani. Watakuwa wameikamia hii mechi.

Joginho mechi ya 2 anapigwa bechi ni kwa ajili ya kupumzika au mfumo umebadilika? Lampard hataki tena pass nyingi
Hadi mapumziko pass 400 tayari
 
Hii mechi siangalii nafuatilia comments za half time Chelsea fc facebook page.

Wengi wana comments Chelsea inapiga pass za hatare kwenye box ya adui kama Barcelona ya pep hawapigi mashuti langoni.

Zouma na Christensen wanapigiana pass nyingi za nyuma kumvuta adui

Azipiculeta apande wa kushoto ameumaster hakuna haja ya Emerson na Alonso.

Lets go blues
Tumepigwa cha pili mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom