Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyo jamaa aje tu awe msaidizi pale Chelsea
Jamaa wanakumbushia
NINTCHDBPICT000545387853-1.jpg
 
Aiseer, itakuwa umeanza kuangalia mpira juzi, kuna kipindi costa alikuwa ovyo mpka alikuwa napigwa sub, tunamchezesha hazard false 9... kumbuka kipindi cha mwisho cha mourhino....

Then kipind tupo conte, watu walikuwa wanamlaumu sana costa...

Au nyinyi mashabiki kuwa mchezaji fulan akiondoka ndio anaonekana mzuri .

Kwangu mm tammy ni mzuri kuliko costa....
Aiseee hebu mpe heshima yake diego costa... Hivi wewe ulishaona Diego Costa analaumiwa kama anavolaumiwa Tammy? Hata kama Diego alikuwa hafikishi goals 20 kwa msimu? Unadhani kwanini?

Simply ni kwamba kipindi cha nyuma wanaofunga katika team walikuwa wengi tofauti na sasa...

Huenda Diego Costa angekuwa pale mbele kwa team ha sasa angekuwa hata na 15+ goals kwa team ya sasa...
 
Kabla mzunguko wa kwanza aujaisha Kuna timu moja uwa mnamalizana nayo kabisa na Kuna timu mnakuwa amjacheza nayo round ya Kwanza mnacheza nayo mechi zote round ya pili.jaribu kupitia fixture ya timu zote za epl ndivyo ilivyo
Afu inakuaje tunarudiana na Southampton kabla hatujacheza na kibonde arsenal.?
 
Aiseer, itakuwa umeanza kuangalia mpira juzi, kuna kipindi costa alikuwa ovyo mpka alikuwa napigwa sub, tunamchezesha hazard false 9... kumbuka kipindi cha mwisho cha mourhino....

Then kipind tupo conte, watu walikuwa wanamlaumu sana costa...

Au nyinyi mashabiki kuwa mchezaji fulan akiondoka ndio anaonekana mzuri .

Kwangu mm tammy ni mzuri kuliko costa....
Mkuu Tammy ni mchezaji mzuri ila unapomfanisha na Costa si vyema kwa sababu kila mmoja au uzuri na ubaya wake. Kwanza Tammy ana 22 yrs while Costa ana 30 smthing sasa unaposema Tammy ni bora zaidi ya Costa nashindwa kukuelewa kwa sababu wamecheza Chelsea vipindi tofauti kila mmoja huyu Tammy huu ndio msimu wa kwanza anacheza timu ya wakubwa hajamaliza hata msimu bado.

Kuwafananisha siyo vibaya lakini Tamny bado hata hajafikia nusu ya alichofanya Costa darajani. Tammy bado mdogo anamuda wa kujifunza anaweza kuja kuwa bora zaidi hapo baadae.
 
Aiseer, itakuwa umeanza kuangalia mpira juzi, kuna kipindi costa alikuwa ovyo mpka alikuwa napigwa sub, tunamchezesha hazard false 9... kumbuka kipindi cha mwisho cha mourhino....

Then kipind tupo conte, watu walikuwa wanamlaumu sana costa...

Au nyinyi mashabiki kuwa mchezaji fulan akiondoka ndio anaonekana mzuri .

Kwangu mm tammy ni mzuri kuliko costa....
Strikers wachache katka umri wa Tammy watakupa magoli anayokupa Tammy
 
Mounrinho haamini kama kupunguzwa kwa ban italeta mabadiliko Chelsea hata kwa bajeti ya mabilioni kwa sababu anaamini Chelsea tayari ina wachezaji wazuri

“..............not easy to get better players than they have – they have very good players.

“I don’t think even with a ban or even with a hypothetical multi-million budget to spend, I’m not very, very sure they can get much better players than they have.”
 
Mounrinho haamini kama kupunguzwa kwa ban italeta mabadiliko Chelsea hata kwa bajeti ya mabilioni kwa sababu anaamini Chelsea tayari ina wachezaji wazuri

“..............not easy to get better players than they have – they have very good players.

“I don’t think even with a ban or even with a hypothetical multi-million budget to spend, I’m not very, very sure they can get much better players than they have.”
Hili ni kweli kabisa, huwezi kumuacha Tomori au Zouma kwa ajili ya mtu ambaye hakaproove lolote. Labda Striker na Left back ndo kuna uhitaji
 
Tomori ni mfupi, tunapata shida sana kwenye mipira ya juu, kwa maana pale chelsea wachezajivwengi ni wafupi..

Ndio maana christensen anapata nafas, hata alonso angepata nafas sana, ila yule ni kilaza wa mwisho kwenye kukaba
Mbona partnership ya ZOUMA NA TOMORI ilishaclick imekuwaje lampard amemuondoa TOMORI anampanga Christensen?
 
Hivi wewe unaona tomori na zuma ni mabeki wazuri, mpka una shauri tutafute strike ????

Ebu angalia marking ya zile beki ?? Mda huu chelsea tunashida sana ya central defenders kuliko strike, cheti goli tunavyoruhusu kiuzembe..

Tena hao mabeki waje warefu, huyo zuma na tomori sio wa kuamin, kwanza tomori mfupi, mipira ya vichwa yote tunamtegemea zuma. Karibu wengine wote ni wafupi
Hili ni kweli kabisa, huwezi kumuacha Tomori au Zouma kwa ajili ya mtu ambaye hakaproove lolote. Labda Striker na Left back ndo kuna uhitaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom