Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea vs Aston Villa Players Rating
  1. Kepa Arrizabalaga 7
  2. Reece James 7
  3. Andreas Christensen 7
  4. Kurt Zouma 8
  5. Cesar Azpilicueta 8
  6. N'Golo Kante 7
  7. Mateo Kovacic 8
  8. Willian 7
  9. Mason Mount 8
  10. Christian Pulisic 7
  11. Tammy Abraham 8
 
Chelsea itapata majibu hii leo endapo marufuku waliopigwa ya kufanya usajili (kwa madirisha mawili) inayotarajiwa kuisha mwezi Februari kama itaondoshwa na kuruhusiwa kuingia sokoni mwezi Januari. (Daily Telegraph)
 
Kwangu mm tamu ni foward mzur sana.... nikimlinganisha na waliopita ( except drogba )

Kwa maana diego costa mnaomtaja sana, kwa wastani alikuwa hafikishi goli 22 za premier, lakn kwa mpka sasa dogo kuna possibility kubwa

Kwanza umri wake mdogo, anapafanya vitu vikubwa ambavyo hata wakubwa hawafanyi..

Au nynyi mnataka foward kila mechi anashinda hatrick ??
Kabisa. TAMMY ana miaka 22. Wadau wanamtetea bado mdogo anaendelea kujifunza.

Swali Ronney, Lukaku, Torres, Suarez wakiwa na umri wa miaka 22 walishafunga magoli mangapi epl?

TAMMY anastruggle kuzifunga timu ndogo zile timu kubwa ndio kabisaa kupata goal ni maajaliwa.

Namuona kama sio striker wa kumtegemea pale chelsea kwa sasa labda huko baadae.

Kwa sasa tunahitaji stiker makali, mwenye uchu wa magoli, mkakamavu, mbunifu atuvushe kwa misimu ambayo Tammy anapata uzoefu.

Chelsea ya sasa inatengeneza nafasi nyingi sana za kufunga, wamaliziaji sasa wa kuweka mpira nyavuni ndio majanga. Na mnaposhindwa kutumia nafasi nyingi kufunga magoli kinachofuata ni kufungwa.
 
Chelsea ya sasa hatuna shida na attacking line kivile, shida kubwa ipo kwa defensive line..

Katika premier karibu kila mechi tunapata goli, mechi ambayo hatujapata goli ni weekend iliyopita tu..

So huwez sema tunashida na mmaliziaji, na kwa mafoward wa sasa, ni ngumu sana kumpata foward kama suarez... karibu wengine ni afadhari ya tammy
 
Dah huko mbeleni kuzifunga timu za TOP 6 itakuwa changamoto
Ndugu huko nyuma Tammy kufunga magoli EPL ilikuwa ni changamoto na sasa hiyo changamoto imeondoka. Hata hiyo changamoto ya kuzifunga top 6 itayeyuka kama barafu. Mimi bado namuamini sana Tammy. Hata tukiingia sokoni tukamnunua mfungaji hodari kaliba ya Mbape bado Tammy atakula nao sambamba au kuwazidi
Kama huamini
Mechi 14 goli 12 na assists 3
Mechi 28 goli 24 na assists 6
Mechi 42 goli 36 na assists 9
Direct aljebra
Mbape kwenye msimu wake mzuri kufunga goli 33 ktk mechi 29 na assists 7
Anavyoimarika anaweza kuzidi hiyo 33 na assists 8 goals sasa huyo sio striker mdogo jamani labda aumie na kuwa nje muda mrefu
 
Chelsea ya sasa hatuna shida na attacking line kivile, shida kubwa ipo kwa defensive line..

Katika premier karibu kila mechi tunapata goli, mechi ambayo hatujapata goli ni weekend iliyopita tu..

So huwez sema tunashida na mmaliziaji, na kwa mafoward wa sasa, ni ngumu sana kumpata foward kama suarez... karibu wengine ni afadhari ya tammy
Naunga mkono mada
 
Breaking News: The Court of Arbitration for Sport has made the decision to reduce Chelsea Football Clubs transfer ban, which was imposed on them early this year. This means that Chelsea will be able to purchase players during the January 2020 transfer window.

¡....???
 
Breaking News: The Court of Arbitration for Sport has made the decision to reduce Chelsea Football Clubs transfer ban, which was imposed on them early this year. This means that Chelsea will be able to purchase players during the January 2020 transfer window.

¡....???
Hii habari umeitoa wapi mana me nmehangaika kote lkn cjaona habari kama hiyo? zaidi ya kwamba ndani ya saa 48 majibu yatakuwa tayari
 
Afu inakuaje tunarudiana na Southampton kabla hatujacheza na kibonde arsenal.?
 
Aiseee hebu mpe heshima yake diego costa... Hivi wewe ulishaona Diego Costa analaumiwa kama anavolaumiwa Tammy? Hata kama Diego alikuwa hafikishi goals 20 kwa msimu? Unadhani kwanini?

Simply ni kwamba kipindi cha nyuma wanaofunga katika team walikuwa wengi tofauti na sasa...

Huenda Diego Costa angekuwa pale mbele kwa team ha sasa angekuwa hata na 15+ goals kwa team ya sasa...
Kwangu mm tamu ni foward mzur sana.... nikimlinganisha na waliopita ( except drogba )

Kwa maana diego costa mnaomtaja sana, kwa wastani alikuwa hafikishi goli 22 za premier, lakn kwa mpka sasa dogo kuna possibility kubwa

Kwanza umri wake mdogo, anapafanya vitu vikubwa ambavyo hata wakubwa hawafanyi..

Au nynyi mnataka foward kila mechi anashinda hatrick ??
 
Breaking News: The Court of Arbitration for Sport has made the decision to reduce Chelsea Football Clubs transfer ban, which was imposed on them early this year. This means that Chelsea will be able to purchase players during the January 2020 transfer window.

¡....???
Kweli mkuuu?????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom