Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wakuu habari. Yaani jana sijapata muda wa kucheki game na sasa ivi ndio naingia mtandaoni nakuta mambo si mambo Westham wametuchakaza kwetu. Daah ila nimeangalia kikosi nahisi ndipo shida ilikuwepo au ni wap tena?
 
The Blues' good recent record against the Hammers [unbeaten at home against West Ham in their last 13 meetings] came to an end with a 1-0 loss
 
Kilio Kilio Darajani Jana
0_Kurt-Zouma.jpg
 
Ni Chelsea pekee ndiye aliyecheza UEFA? Liverpool na Spurs hawakucheza?
Uchovu unategemea na jinsi timu ilivyouchukulia huo Mchezo. The same UEFA wanaweza chenza timu nyingi, zingine wachezaji wao wakachoka labda walikamia na wengine walicheza kwa uangalifu waka reserve energy. Hii iko wazi
Kwa Chelsea ilionekana pamoja na kuwa kocha alipanga timu ya pre-season lakini pia uchovu kwa baadhi ya wachezaji ulikuwa dhahiri
 
Wakuu habari. Yaani jana sijapata muda wa kucheki game na sasa ivi ndio naingia mtandaoni nakuta mambo si mambo Westham wametuchakaza kwetu. Daah ila nimeangalia kikosi nahisi ndipo shida ilikuwepo au ni wap tena?
Kuchakazwa kwenu ni kawaida tu mbona mshazoea
 
The Blues' good recent record against the Hammers [unbeaten at home against West Ham in their last 13 meetings] came to an end with a 1-0 loss
Wacha maneno ya kujifariji wewe,
 
Epl ni ligi ngumu sana na kibaya zaidi haitabiriki. Westham timu mbovu sana na kocha wao walianza kumuhesabia mechi.

Kwa vyovyote vile lazima wapambane wapate matokeo. Upande wa Lampard alidharau hii mechi kwa kurefer ubovu wa westham na uchovu wa UEFA. Alitegemea angekula pilau kuku ghafla akaletewa ugali tembele.

Kiufupi GAME PLAN ilifeli. Hili ni somo lingine kwa Lampard never underestimate the depth of water.

Pia game ya jana imetoa picha kwamba usajili ni lazima kuna wachezaji viwango vimeshuka sana. Tunaweza kudhani chelsea tunakikosi kipana la hasha.

Kwa sasa timu ifocus kwenye match za mbele tufufue form yetu ya ushindi mfululizo.
Mambo ya kusema UCHOVU WA UEFA hiyo ni point dhaifu....
Point kubwa hapo ni hiyo uliyosema alitegemea Pilau akakuta
images.jpeg
 
Uchovu unategemea na jinsi timu ilivyouchukulia huo Mchezo. The same UEFA wanaweza chenza timu nyingi, zingine wachezaji wao wakachoka labda walikamiua na wengine walicheza kwa uangalifu waka reserve energy. Hii iko wazi
Kwa Chelsea ilionekana pamoja na kuwa kocha alipanga timu ya pre-season lakini pia uchovu kwa baadhi ya wachezaji ulikuwa dhahiri
Kaka hivi nyinyi ni nani msifungwe???
Kiasi ulete kisingizio cha uchovu wakati SPURS,CITY,LIVER nao wanacheza uefa pia tena nyinyi game yenu ilichezwa mapema kuliko ya LIVER inamaana mlipata muda wa kupumzika mwingi kuliko Liver na wenzenu wameshinda ila nyinyi mmechabangwa HOME hahahaaaaaaaaaaa
 
Epl ni ligi ngumu sana na kibaya zaidi haitabiriki. Westham timu mbovu sana na kocha wao walianza kumuhesabia mechi.

Kwa vyovyote vile lazima wapambane wapate matokeo. Upande wa Lampard alidharau hii mechi kwa kurefer ubovu wa westham na uchovu wa UEFA. Alitegemea angekula pilau kuku ghafla akaletewa ugali tembele.

Kiufupi GAME PLAN ilifeli. Hili ni somo lingine kwa Lampard never underestimate the depth of water.

Pia game ya jana imetoa picha kwamba usajili ni lazima kuna wachezaji viwango vimeshuka sana. Tunaweza kudhani chelsea tunakikosi kipana la hasha.

Kwa sasa timu ifocus kwenye match za mbele tufufue form yetu ya ushindi mfululizo.
Kuhusu kikosi kwa kumbkumbu zangu hatuwahi kuwa na kikosi kipana Chelsea huwa tunakuwaga tu na wachezaji potential for time being so mimi leo sishangai hata kidogo kufungwa na Westham nyumbani kwa sababu tu hajaanzisha regular starter. Cha msingi ninachoona kikubwa ni kufanya usajili wa maana tu.

Watu wengine wanasema Lampard kakosea eti kawadharau Westham. Mimi hapo napinga kwa nguvu kwa sababu wale walioanzishwa ni wachezaji wa Chelsea na waliobench nao walihitaji kupumzishwa ili wengine pia wapate nafasi. Sasa kama walioanza hawakutupa matokeo tuliyo stahili na viwango vyao vimeshuka basi wawapishe wengine waingie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom