Epl ni ligi ngumu sana na kibaya zaidi haitabiriki. Westham timu mbovu sana na kocha wao walianza kumuhesabia mechi.
Kwa vyovyote vile lazima wapambane wapate matokeo. Upande wa Lampard alidharau hii mechi kwa kurefer ubovu wa westham na uchovu wa UEFA. Alitegemea angekula pilau kuku ghafla akaletewa ugali tembele.
Kiufupi GAME PLAN ilifeli. Hili ni somo lingine kwa Lampard never underestimate the depth of water.
Pia game ya jana imetoa picha kwamba usajili ni lazima kuna wachezaji viwango vimeshuka sana. Tunaweza kudhani chelsea tunakikosi kipana la hasha.
Kwa sasa timu ifocus kwenye match za mbele tufufue form yetu ya ushindi mfululizo.