Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Watabadilika.
Arsenal wana wachezaji wazuri lakini kocha alishindwa kuwatumia.

Front three ya Arsenal kama ingepata kocha kama PEP au KLOPP ni bora kuliko ya Liverpool.

LACCA - AUBA - PEPE

Hawa ni Lethal attackers iwapo watapata kocha anayejua kuwatumia.

Kwanza Mimi sikubaliani na wengi wanaoamini Kuwa PEPE ni Flop.

PEPE ni very talented player but Emery kashindwa kumuadapt na EPL kutokana na kutokuwa na recognized system anayochezesha.
Tuyaache hayo kwanza mkuu ...
Nasikia hapa kuna msiba????
 
Haka kademu kamechapwa uwani kwao kabisa aiseeeee kweli kachuratope
 
Waandazi tupo kwenye jukumu zito kuhakikisha kila mtu anakula leo katika hii shughuli.... lembu hakikisha kila mtu amenawa
images.jpeg
 
Wachezaji wanauchovu na game za UEFA af ukizingatia bado niwatoto wanahitaji mda wa kupumzika
 
Game plan Leo iligoma so next time tutarud katika ubora wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom