Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lampard katuuza alidharau hii game.
Yaani serious mbele una giroud na pedro kweli.
Sawa Tammy majeruhi basi kama unanza na Giroud si angeanza pia na Willian.
 
Msemo wa "ngoma ikivuma sana" unaanza kufanya kaz

Taratibu mtazoea tu
 
Lampard katuuza alidharau hii game.
Yaani serious mbele una giroud na pedro kweli.
Sawa Tammy majeruhi basi kama unanza na Giroud si angeanza pia na Willian.
Nilijibizana na mjinga flani mechi iliyopita kukataa kuwa Giroud ni mzuri sana zaidi ya Willian alinipinga mno, bila shaka leo atakuwa kajionea mwenyewe uozo uwanjani
 
Chelsea mpo vizur, Leo mmepiga mpira mmoja mkubwa sana

Kufunga na kufungwa ni kawaida. Tatizo hamjui kuwa makocha utumia game plan. Kila kocha anakuwa na game plan yake ikifaulu na wachezaji wakiongeza jitiada anashinda mechi ila ikibuma anafungwa.

So leo kwetu haikuwork west ham wakatufunga. Naamini next game tutakuwa pouwa.

Whether we loss or win or draw chelsea foreva🧢🧢
 
Mlitucheka siku wagonga nyundo walipotuchapa, leo imegeukia kwenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom