Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread


Gambling haisemi hivyo
Kununua wachezaji inabaki kuwa kamari milele

Mifano hizi hapa

  1. Eden Hazard alitoka Lile na alipokuja Chelsea aliishia kuwa Legend wa timu kwa ubora wake
  2. Pepe - japo hatuwezi kumhukumu kwa sababu ni mapema mno lakini dalili za mvua ni mawingu, Pepe kashindwa kabisa kuonyesha ule ubora wake wa magoli 22 kwa msimu akiwa Lile
  3. Morata - alishindwa kutamba Chelsea sasa anatamba Laliga
  4. Cuadrado - alishindwa kutamba Chelsea sasa anatamba Serie A
  5. Diego Forlan - alishindwa kutamba Man U na akatamba Laliga na Vilareal na pia mchezaji bora wa kombe la dunia 2010
  6. Gerard Pique - alishindwa kutamba Man U chini ya Furguson na alipojiunga na Barcelona akatamba mpaka wa leo
  7. Radamel Falcao - alishindwa kutamba Chelsea ametamba Ligue one
  8. Angel Di Maria - alitamba na Real Madrid, alishindwa kutamba Man U na alipojiunga na PSG anatamba mpaka wa leo
  9. Jerome Boateng - alishindwa kutamba Man City alipojiunga na Beyern Munich akatamba huko
  10. Paulinho - alishindwa kutamba Spurs akaenda kutamba Barcelona Laliga
  11. Deco alishindwa kuonyesha ubora wake Chelsea
  12. Michael Owne alishindwa kuonyesha makali ya EPL alipohamia RM - Laliga mpaka ikamlazimu kurudi EPL baada ya msimu mmoja tu
  13. Cesc Fabregas alitamba sana EPL akiwa Arsenal lakini alipohamia laliga alifeli mpaka alipoamua kurudi EPL kuchezea Chelsea na ubora wake kama alivyokuwa Arsenal ukarudi tena
Mfundishe huyo kilaza aelewe kidogo.....na mimi nitaongezea kidogo hapo mkuu maana leo umeongea la maana,

kiwango cha mchezaji kinaweza kuathiriwa na mazingira anayoyakuta ukicompare na alipotoka,maana kuna wachezaji wanaweza kucopy mazingira haraka na mwengine akashindwa.....

Katika mazingira kuna mambo mengi...



Mifumo ya kocha - Ozil alishindwa kucheza madrid,na sasa hivi Arsenal sababu ya kimfumo na hapa ndio utakuta wachezaji wengi wazuri wanapotezwa maana mara nyingi inapelekea mchezaji kucheza out of positions mf.Ox,Xhaka,Torrela

Aina ya wachezaji-kama ulimuona Pogba wa Juve basi utakubaliana na mimi,alipiga mwingi sana ukimcompare na huyu wa Manyumbu mpaka wakawa wanaulizana au tumeuziwa copy yake....sababu hapo Nyumbu anakosa watu aina ya kina Artulo Vidal,Pjanic na Pirlo....aiseeh Pogba yule hajawahi kurudi

Ugumu wa ligi-hili lipo dhahiri na linahitaji mchezaji kuwa mvumilivu ili aweze kukabiliana na hali halisi,maana huku kuna top6 lakini bado ukikutana na timu ya 17 kwenye msimamo shughuli unayo...pia makombe ni mengi sana hasa ukicheza hizi timu kubwa unajikuta una EPL,FA,CALABAO,UEFA/EUROPA then wikiend unakutana na kitimu kinashiriki EPL tu hapo utakamiwa mpaka ukome...


Kinachowamaliza wachezaji ni kelele za mashabiki hasa hizi timu kubwa zenye presha...ambapo mchezaji mara nyingi anaponzwa na ada yake ya usajili,maana watu wanataka kuona matokeo makubwa kwa muda mfupi sana ili wajiaminishe kuwa hawajapigwa...

Sasa mchezaji akikutana na mambo hayo hapo juu,itabidi avumiliwe na shabiki subra hana kabisaaaaaaaaaaa ...sasa ndio ukutane na mchezaji aliyenunuliwa kwa pesa ndogo anaperfom kuliko wewe hahahaaaa utaitwa kila aina ya jina na ndio hapa saikolojia ya mchezaji inapoharibika
 
Chelsea wasingefungiwa hawa wachezaji wangeuzwa kama alivyouzwa Nathana Ake
  1. Tammy Abraham
  2. Mason Mount
  3. Reece James
  4. Fikayo Tomori
  5. Callum Hudson Odoi
Ili kununua wachezaji wafuatao
  1. Wilfred Zaha
  2. Robewrt Lewandowski
  3. Callum Wilson
  4. Aleksandar Mitrovic
  5. Nabil Fekir
  6. Mauro Icardi
  7. Krzysztof Piatek
 
Na ndiyomana kina Depay na Chamakh yule aliyekuepo Arsenal walinunuliwa wamefanana na Nyavu lakini kugusa EPL tu waligeuka kituko.
Iago Aspas,Benteke,Lazar Markovic,Higuain,Jovetic,Luis Albeto,Bebe(hapa kwa bebe nimecheka kwa sauti,kweli nyumbu acha awe nyumbu tu)
 
Tunge bugi
Chelsea wasingefungiwa hawa wachezaji wangeuzwa kama alivyouzwa Nathana Ake
  1. Tammy Abraham
  2. Mason Mount
  3. Reece James
  4. Fikayo Tomori
  5. Callum Hudson Odoi
Ili kununua wachezaji wafuatao
  1. Wilfred Zaha
  2. Robewrt Lewandowski
  3. Callum Wilson
  4. Aleksandar Mitrovic
  5. Nabil Fekir
  6. Mauro Icardi
  7. Krzysztof Piatek
 
Tittle race, Championship race and top 6 race prediction by supercomputer
According to FiveThirtyEight, Liverpool will win the title by six points clear of Man City.
Premier League table predicted
  1. Liverpool 93
  2. Man City 87
  3. Chelsea 75
  4. Leicester 69
  5. Tottenham 58
  6. Manchester United 57
  7. Arsenal 56
  8. Everton 51
  9. Wolves 49
  10. Bournemouth 47
  11. Sheffield Utd 46
  12. Burnley 46
  13. Crystal Palace 46
  14. Brighton 44
  15. Newcastle United 42
  16. West Ham United 40
  17. Aston Villa 39
  18. Watford 37
  19. Southampton 37
  20. Norwich City 29
 
skysports-graphic-power-rankings_4833343.jpg
 
Ukishapigwa 6 usijekusingizia mumemuachia ili Liverpool asibebe ubingwa

Tatizo lenu moja tu. Mna mdomo na kukariri mambo.

Je, ni sisi pekee ndiyo Man city katufunga goli tano?

Nakumbuka baada ya kuchukua Epl na Konte tuwafunga 6 kwenye FA cup. Ninyi juzi tu hapa mmefungwa Tano na City mmeshasau.

So subiri dakika 90 ndiyo itaamua nani anaondoka na point 3. Kama bahati itamwangukia man city sawa na kama itamwangukia chelsea ni sawa pia. Manake hata ninyi ilikuwa bahati kwenu. Mmenawa mara mbili refa anapeta tu wala hana muda na VAR.

Pia utambue kuwa timu zote zitaingia uwanjani kusaka points 3. Atakae zidiwa ujanja au mbinu basi atakuwa mshindi na kuondoka na points hizo
 
Iago Aspas,Benteke,Lazar Markovic,Higuain,Jovetic,Luis Albeto,Bebe(hapa kwa bebe nimecheka kwa sauti,kweli nyumbu acha awe nyumbu tu)

Mkuu hii list yako haiendani na tunachokijadili!

Tunachokijadili ni Wafumania Nyavu hatari wa Ligi za Mchangani waliofeli EPL

Sasa hawa Kina Benteke, Aspas, Markovic, Luis Alberto labda iwe ni wafumaniaji wa Nyavu za Uvuvi lakini si za golini.

Nadhani umehusisha hiyo post yako na kumpiga Madongo Liverpool lakini usisahau Kuwa Benteke alitoka EPL akahamia Liverpool ikiwa EPL hakutokea mchangani na wala hakuwa Mfungaji bora bali alikuwa average tu wa kawaida.
Hao kina Aspas na Markovic wala hakuna aliyekuwa akiwajua.
 
Imagine Ollachuga Oc ndio kichwa chao hapa nowdays baada ya kina Kunguru Mjanja kujiweka pembeni,sasa haya mabehewa unafikiri yatakuwaje????
Wao ukipishana nao fikra tu basi jipange kuitwa mlevi,mvuta bhangi,hujui mpira e.t.c tena hapo ndio wamekuheshimu lakini matusi huwezi yakwepa

Kinachopaswa ni kujiongeza tu,
Hahaha mkuu usichukulie mambo siriyaz kiivyo bana ...mimi natukanwagwa lakin nachekaga maana sinaga time na kupanick ..wee kuwa mpole endelea kuleta changamoto apa ..bado kuna fans wengi wapya ana wengine wamebadili I'D zao ..so wee andika unachojisikia tu hii ndo maana kamili ya ushabiki bana ...
 
Chelsea wasingefungiwa hawa wachezaji wangeuzwa kama alivyouzwa Nathana Ake
  1. Tammy Abraham
  2. Mason Mount
  3. Reece James
  4. Fikayo Tomori
  5. Callum Hudson Odoi
Ili kununua wachezaji wafuatao
  1. Wilfred Zaha
  2. Robewrt Lewandowski
  3. Callum Wilson
  4. Aleksandar Mitrovic
  5. Nabil Fekir
  6. Mauro Icardi
  7. Krzysztof Piatek
Hapo nina imani katika hao makinda lazima kuna mmoja angebaki. Sanasana Odoi, Mount au Tammy.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom