Chelseafc hata wakichukua ubingwa hakuna atakayeshangaa kwasababu nikawaida yao kufanya hivyo,lakini timu ya King ngwaba ikichukua ubingwa kila mtu atapigwa na bumbuwazi kwasababu hiyo timu haina nyota ya ubingwa iko kwenye fungu la kukosa! kila mwaka nimsiba kwao hawajawahi kufurahi.Naona mnaanza kuuota ubingwa eti???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji33][emoji33][emoji33][emoji33] Manyumbu bhanaaa..