Shida ni kwamba huwa huangalii mpira unaochezwa na Chelsea. Joginho ni top creative mid fielders duniani. Akikutumia pass iko mguuni, au utaikuta sehemu sahihi. No wonder why magoli mengi yamezalishwa na Joginho. Na Chelsea imetandaza kandanda safi msimu huu tangu mechi na Manchester.Mkuu leo mmecheza mpira mzuri sana ,naamini kwasababu Joginho hakuwepo....pale kati kulipendeza sana,
Hongereni.
PULISIC vs HAZARD
Pulisic (all competitions) - 14 games, 5 goals, 5 assists
Hazard (all competitions) - 10 games, 1 goal, 2 assists
Shida ni kwamba huwa huangalii mpira unaochezwa na Chelsea. Joginho ni top creative mid fielders duniani. Akikutumia pass iko mguuni, au utaikuta sehemu sahihi. No wonder why magoli mengi yamezalishwa na Joginho. Na Chelsea imetandaza kandanda safi msimu huu tangu mechi na Manchester.
Kama tungefungwa lazima ungenipa tu.Kwani kuna sehemu nilisema munafungwa?
kweli avutwe shatiMan city ashinde leo akuvute shati.
UnakaribishwaHahaha tuko pamoja mzebaba...
Ngoja nije kutoa pole ukooo...
Huyo si anajua ushabiki wa soka ni matusi,ugomvi na kuchange ya ukweli kuwa uwongo....Haha achana na dully Jr mkuu ..unafiki kweny football upo sana mkuu huo ndo unaleta ushabiki ..kinachotakiwa ni kupokea pongezi na kwenda kutoa pole kule upande mwingine
Man city ashinde leo akuvute shati.
Sisi tukifungwa nyinyi Chelsea itawasaidia nini?
Au ndiyo tayari mumeshajijengea False hope kuwa tukifungwa na Man City ndiyo mutakuja kuongoza Ligi?
Acheni kujidanganya sisi hata tukifungwa na Man City Chelsea haiwezi kumaliza ligi Juu ya Liverpool
Hatumkimbizi mtu yeyote, tunashinda tu, nyie mkifungwa mtajimaliza wenyewe na tutawapita tu iwe Liverpool au Mancity au Leicester city. Kumalizana na top 6 haina maana mko salama, tena epusha mbali, unaweza donolewa na mitimu ovyo mkaishia na nyie kukimbiza wengine. Kwani mwaka jana mlidonolewa na nani? au mlipoteza point 2 kwa timu zipi?Najua Kuwa Leicester City pumzi itakata kwani kwa Top six ana uhakika wa kumgunga Arsenal tu!
Swali la Msingi
√ Je munataka tumpige Man City ili mukamate nafasi ya Pili? Au munataka nipigwe na Man City muendelee kufukuzana na Leicester kwenye nafasi ya 3?
Ukweli usiofichika hamuna uwezo wa kufukuzana na Timu mbili kwa pamoja (Liverpool & Spurs) but munao uwezo wa kufukuzana na moja kati ya hizo.
Na hapo ni Wazi kuwa munaeweza kufukuzana na kumkimbia ni Man City na si Liverpool kwani Liverpool akimaliza leo ameshapambana na Top six wote ikiwemo Leicester City pia.
Kwahiyo si rahisi tena kudondosha points kwa waliobakia kwa hii round ya kwanza kwani atakuwa amebakisha na:-
November
Crystal Palace (A)
Brighton and Hove Albion (H)
December
Everton (H)
Bournemouth (A)
Watford (H)
West Ham United (A)
But Man City ndiyokwanza hajamalizana na Top Six kwani amecheza na Spurs tu! Kwahiyo sisi tukimfunga na nyinyi mukimharibia basi hawezi kuwakamata tena.
HATA SISI KUMFUNGA MANCITY, AU KUFUNGWA NA MAN CITY HAKUTOTEGEMEA MAOMBI YENU
Cha msingi kila mtu atimize wajibu wake. Yaani kila timu ishinde mechi zake isije tokea timu fulani imefungwa watu wakaanza kusema Chelsea iliwaombea wafungwe.Najua Kuwa Leicester City pumzi itakata kwani kwa Top six ana uhakika wa kumgunga Arsenal tu!
Swali la Msingi
√ Je munataka tumpige Man City ili mukamate nafasi ya Pili? Au munataka nipigwe na Man City muendelee kufukuzana na Leicester kwenye nafasi ya 3?
Ukweli usiofichika hamuna uwezo wa kufukuzana na Timu mbili kwa pamoja (Liverpool & Spurs) but munao uwezo wa kufukuzana na moja kati ya hizo.
Na hapo ni Wazi kuwa munaeweza kufukuzana na kumkimbia ni Man City na si Liverpool kwani Liverpool akimaliza leo ameshapambana na Top six wote ikiwemo Leicester City pia.
Kwahiyo si rahisi tena kudondosha points kwa waliobakia kwa hii round ya kwanza kwani atakuwa amebakisha na:-
November
Crystal Palace (A)
Brighton and Hove Albion (H)
December
Everton (H)
Bournemouth (A)
Watford (H)
West Ham United (A)
But Man City ndiyokwanza hajamalizana na Top Six kwani amecheza na Spurs tu! Kwahiyo sisi tukimfunga na nyinyi mukimharibia basi hawezi kuwakamata tena.
HATA SISI KUMFUNGA MANCITY, AU KUFUNGWA NA MAN CITY HAKUTOTEGEMEA MAOMBI YENU
Ukweli ni kwamba mkifungwa leo gap linapungua. Yaani utakuwa umemuacha chelsea point 5 tu. Kama hizo unaziona chache sawa.Sisi tukifungwa nyinyi Chelsea itawasaidia nini?
Au ndiyo tayari mumeshajijengea False hope kuwa tukifungwa na Man City ndiyo mutakuja kuongoza Ligi?
Acheni kujidanganya sisi hata tukifungwa na Man City Chelsea haiwezi kumaliza ligi Juu ya Liverpool
Cha msingi kila mtu atimize wajibu wake. Yaani kila timu ishinde mechi zake isije tokea timu fulani imefungwa watu wakaanza kusema Chelsea iliwaombea wafungwe.
Simply ulichomaanisha hapa ni kutafuta Sympathy tuwashashangilie kwa sababu mkimfunga City ni advantage kwetu. Teh
Kumbe Pulisic alitolewa kwa sababu ya majeruhi