Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu labda haujanielewa au umeelewa tofauti na nilicho maanisha. Sikua na maana ya kukuattack lakini wewe mihemko yako umechukulia personal sana. Mimi nimekwambia uhalisia mbatupinda sisi mno inapotokea tuna defend mnaanza lia lia wenyewe.

Halafu pia kitu usichojua mpira haunigi bila upunzani kama huku tunavyopigana majungu huku hata mtaani ni ivyo na ndio burudani ilivyo mkuu pengine wewe ndio utakua na matatizo kwa kufeel personally attacked. Sorry bro!
Mkuu wengine vyuo hatukufanikiwa kufika.

Yote kwa yote acheni tabia za kujibinafsisha nyuzi , maan inakuwa inatia ukakasi kua hata mpira mnashabikia vipi au mnaangalia vip huko mlipo na je mnaishi vp na wanasoka wengine kama tu mtu ukichallenjiwa kidogo kuhusu timu yako bas unajikuta unapaniki na kujifanya unamjaji aliekuchallenji as if unamjua sana (uzi huu ndo mnatabia hizo) . Kunahatua unatakiwa uwe mpenzi wa mpira na usiishie kuwa shabiki tu mkuu.
 
Pamoja na mdogo wake Aroon
Na imagine ile mitaa ambayo jamaa anaongea ovyo hivi ni mitaa mingapi kajipiga ban.
Baada ya ban na Hazard kuondoka na Sarri kutimua walianza hivi
  1. Chelsea itashuka daraja
  2. Mara Chelsea namba 10-15
  3. Huko mbeleni vipigo vikikolea utawasikia Chelsea itaishia Europa tu
Afadhali ya King Ngwaba ameanza kuonyesha heshima kwa Chelsea kwa kupotea kwenye uzi
 
Ndo hapo, tatizo Arsenal imejaa vichwa bure. Hawawezi kujenga hoja kwa sababu hawana uwezo huo. Wanachojua hasa Aroon na Wily ni kukopi na kupase maoni ya watu wa twitter. Hawezi kutafuta takwimu hata za wachezaji wao. Badala ya kubishana kwa takwimu wanabishana kwa quotes za watu
Mashabiki wengi wa Asernal ni walevi wapombe kali wasikuumize kichwa.
 
Nyie tutawchapa kwa takwimu, soon ni Luiz vs Tomori, then Azpillicueta vs Chambers alafu Sokratis vs Zouma then Pepe vs Willian ambaye amecheza mechi pungufu ya Pepe msimu huu,
Acha kukurupukia watu aliekwambia me arsenal nani?
 
Nyie tutawchapa kwa takwimu, soon ni Luiz vs Tomori, then Azpillicueta vs Chambers alafu Sokratis vs Zouma then Pepe vs Willian ambaye amecheza mechi pungufu ya Pepe msimu huu,
Lete hizo takwimu sio unaishia kubwabwaja tu hapa......tena uanza na lile pazia lako pale golini
 
Current Injuries Status by numbers
  1. Norwich 11
  2. Man U 10
  3. Mancity 7 mojawapo ni Sane hadi 2020
  4. Bournemouth 6
  5. Brighton 6
  6. Chelsea 5 mojawapo ni Tammy Abraham ana maumivu kidogo ya goti hadi 11 Oct
  7. Liverpool 5 - mojawapo ni MO Salah, Kocha analalamika kuwa maadui wanampango wa kumpunguzia kasi
  8. Spurs 4 mojawapo nu Hugo Lloris hadi 2020
  9. Arsenal 2
  10. Leicester City 1
 
Mashabiki wengi wa chelsea ni vitoto vya mama na vishoga....
Sasa kitimu cha 2005, inamaana moja kwa moja washabik wake weng(asilimia kubwa)bado wanasubiri chai na wadogo zao mezani (msosi wa shikamoo) na ndio maan mawazo yao yameganda.Na Si ajabu hako kanakosema washabik wa liver na arsenal ni walevi ukute baba yake ni mlevi wa gongo pure ile inayotengenezwa kwa njia ya mvuke kutoka maliwato
 
Na imagine ile mitaa ambayo jamaa anaongea ovyo hivi ni mitaa mingapi kajipiga ban.
Baada ya ban na Hazard kuondoka na Sarri kutimua walianza hivi
  1. Chelsea itashuka daraja
  2. Mara Chelsea namba 10-15
  3. Huko mbeleni vipigo vikikolea utawasikia Chelsea itaishia Europa tu
Afadhali ya King Ngwaba ameanza kuonyesha heshima kwa Chelsea kwa kupotea kwenye uzi

Aroon ni mzee wa kutafuta magonjwa ya moyo na stress zisizo za lazima
 
Sasa kitimu cha 2005, inamaana moja kwa moja washabik wake weng(asilimia kubwa)bado wanasubiri chai na wadogo zao mezani (msosi wa shikamoo) na ndio maan mawazo yao yameganda.Na Si ajabu hako kanakosema washabik wa liver na arsenal ni walevi ukute baba yake ni mlevi wa gongo pure ile inayotengenezwa kwa njia ya mvuke kutoka maliwato

Mtoto wa 2005. Ameshudia timu yake ikishinda mataji ya

Epl 5
UEFA Champion 1
Uropa Champion 2
FA Cup 8
Carabao Cup 5

Wewe mzeee wa 90s umeshudia Kimoja 1 kama sijakosea.

So kati ya mtoto na Mzee nani anamafanikio makubwa?

Mzee aliwekeza kwenye ulevi tu
 
Wakuu tuendelee kuonyesha hali ya kuvumiliana tena sana ni utanzania huo dharau, majigambo, kebehi ziishie person level .natoa mfano " wewe Lukub mjinga Kweli... Usimtukanie wazazi wake watoto, tusiende family level, tukumbuke wana Chelsea wenzangu wageni wanaokuja humu wanaona timu inafanya vizuri ,tukiwa na hali mbaya wangekuja kutoa pole bila hata majigambo .Matusi yakitaradadi tutasoma tu bila comment yoyote. Blue is the colour
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom