Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,796
- 4,297
this time tumuombe Mungu hii international brake isiondoke na wachezaji wetu, huyu kaka jambazi alitumia national team hadi Leo ni kesiSoon unarudi uwanjani.
this time tumuombe Mungu hii international brake isiondoke na wachezaji wetu, huyu kaka jambazi alitumia national team hadi Leo ni kesiSoon unarudi uwanjani.
kumbe MR / MRS ni mshabiki wa chelseaAlisema hatuchomoki kwa Wolves, Lescister, Southampton.
Mimi namfananisha na mwanamke asiye na msimamo
Naona vistats vyenu vimeanza tena kama kile kipindi sarri na joginho wametua hapo darajani venye mlikuwa mnasumbua lkn mwisho wa siku mkaanza kulia lia humu . Sasa nawakumbusha tu hata yule masai kipind kapewa timu nyumbu waliishi maisha mnayoyaishi nyinyi kwa sasa hivyo bas msijisahau sana vijana wa chelwowo
this time tumuombe Mungu hii international brake isiondoke na wachezaji wetu, huyu kaka jambazi alitumia national team hadi Leo ni kesi
Huyo si mwanaume Bali ni mtoto. Mtoto hawezi kusimamia kauli zake na isitoshe ni rahisi kusahau alichosema mwanzoniUkiwa mwanaume kuwa na msimamo mwanzon ulisema unatupa mechi kumi tutakuwa nje ya kumi Bora, pia uksema wolves nae atatufunga tukashinda , yan most of time tabiri zako zinafeli still hujifunzi kuwa na akiba ya maneno ,mechi ya final ueropa ulipiga kelele kujisifia then ukapigwa ,unaendeshwa na hisia thus y all the time prediction zako zinafeli
Unajua kama Chelsea imetumia nguvu nyingi kumzuia kwenda Bayern?Sawa,
Lakini unavyoona ile front line ya Bayern pale Odoi angecheza namba ya nani? Ikiwa Pulisic,Muller wanasugua?
Sijasema kuwa Odoi hana kipaji Ila kuna ile kitu kuzidiana uwezo
Na ukiangalia kijana bado mdogo na anahitaji muda mwingi wa kucheza ili kukuza kipaji na uwezo wake.....
Halo Chelsea ana uhakika wa kucheza na ndio maana anajisifu kwa maamuzi aliyochukua maana angeenda Bayern ingemcost sana.
Mkuu relax kwanza alafu uandike upya huo ni mwaka gani ambao Hugo Lloris atarudi?
Then ,soma tu vizuri nilichoandika kila kitu nimeweka kwa kurudia tu maana najua kuwa unaelewa polepole,
Pale bayern kuna Comman Kingslay na Serge Gnabry wamoto kuliko moto unaoujua wewe,then bench kuna Pulisic ,Muller n.k
Odoi hapati namba kwa hao vijana maana nao damu zinachemka kwelikweli,
Wolves walimfunga Man City 2-0Timu alizo zifunga ni kweli zimejichokea
Mbona asimfunge Leicester?
Na hapo Alonso sio first choice, je za Emerson ungeziweka hapo zingekuwajeMarcos Alonso vs Sead Kolasinac katika ligi kuu Uingereza(EPL)
Alonso amecheza mechi 5; 3 akianza, 2 akitokea benchi, na jumla ya dk alizocheza ni 347.
Kolasinac amecheza mechi 5; 4 akianza, 1 akitokea benchi, na jumla ya dk alizocheza ni 469 yaani dk 122 zaidi ya dk alizocheza Alonso EPL.
Alonso ana assists 2;
Kolasinac ana assists 1;
Shots per game:
Alonso 0.6
Kolasinac 0.2
Pass success percentage per game:
Alonso 82.3%
Kolasinac 86.8%
Aerials won per game:
Alonso 3.2
Kolasinac 0.8
Tackles per game:
Alonso 2
Kolasinac 1.5
Interceptions per game:
Alonso 1.2
Kolasinac 0.7
Clearance per game:
Alonso 2.2
Kolasinac 1.5
Key passes per game:
Alonso 1.4
Kolasinac 0.8
Passes per game:
Alonso 43
Kolasinac 36.5
Dribles per game:
Alonso 1.2
Kolasinac 0.5
Crosses per game:
Alonso 1
Kolasinac 0.3
Long balls per game:
Alonso 1.2
Kolasinac 0.7
Hapo wadau takwimu zinajieleza yupi bora kati ya Kolasinac na Alonso. Next ni Luiz vs Tomori
Ndo hapo, tatizo Arsenal imejaa vichwa bure. Hawawezi kujenga hoja kwa sababu hawana uwezo huo. Wanachojua hasa Aroon na Wily ni kukopi na kupase maoni ya watu wa twitter. Hawezi kutafuta takwimu hata za wachezaji wao. Badala ya kubishana kwa takwimu wanabishana kwa quotes za watuNa hapo Alonso sio first choice, je za Emerson ungeziweka hapo zingekuwaje
Hyo mimi nilishamkataa asiwe mwanafunzi wangu, ni mgumu kuelewakichwa kigumu timu kufungwa haimaanishi ni dhaifu ni game plan imekataa, utatukanwa humu ndani utasingizia Ohh hamtaki challenge, narudia tena kuwa muelewa
Duh mkuu unakaba yan lazma utafute kosaWewe Bayern hakuna Pulisic kuna Perisic.
Aiseee nilishawahi sema nawaelewa sana mashabiki wa liverpool kwasababu hii ....umeongea point kali sana ....aiseeh hawachelewi kukudukua ktk uzi wao hawaMkuu wengine vyuo hatukufanikiwa kufika.
Yote kwa yote acheni tabia za kujibinafsisha nyuzi , maan inakuwa inatia ukakasi kua hata mpira mnashabikia vipi au mnaangalia vip huko mlipo na je mnaishi vp na wanasoka wengine kama tu mtu ukichallenjiwa kidogo kuhusu timu yako bas unajikuta unapaniki na kujifanya unamjaji aliekuchallenji as if unamjua sana (uzi huu ndo mnatabia hizo) . Kunahatua unatakiwa uwe mpenzi wa mpira na usiishie kuwa shabiki tu mkuu.
Ivan PerisicBora hata umwambie hyo n mara ya pl anakosea tu
Mfumo wa Lampard unamfanya kila mchezaji kuwa bora. Wote wakishajua na kushika falsafa yake, nawaambia hakuna tena cha Liverpool na Klopp wake wala Man city na Pep wake. Tusubiri tu msimu wa pili au wa tatuMti wenye MATUNDA mazuri hurushiwa mawe. Perfomance bora kabisa ya Chelsea kwa sasa lazima turushiwe mawe na wapinzani wetu.
CALM DOWN wanachelsea wenzangu.
LAMPARD = Kocha Bora
Wachezaji wetu wote ni BORA.
MWISHO WA MSIMU MAKOMBE MAPYA TUTAYAWEKA KABATINI.
Unajua kama Chelsea imetumia nguvu nyingi kumzuia kwenda Bayern?
Anajua kuwa alisha-submit transfer request ili aruhusiwe kuondoka?
Je nini kilitaka kimuondoe Chelsea? Nini kilikuwa kinamsukuma kwenda Bayern?
Ukweli ni kwamba Lampard ndo factor kubwa ya Odoi kubaki ila alishaamua kuondoka kwenda zake Bayern. Lampard alizungumza naye kama mtu na mlezi wake anayemheshimu sana.
Kwa hiyo ni vyema ukafuta hiyo notion uliyonayo.
Typing error ila umeelewa maana hii haitaji integration au calculusMkuu relax kwanza alafu uandike upya huo ni mwaka gani ambao Hugo Lloris atarudi?
Then ,soma tu vizuri nilichoandika kila kitu nimeweka kwa kurudia tu maana najua kuwa unaelewa polepole,
Pale bayern kuna Comman Kingslay na Serge Gnabry wamoto kuliko moto unaoujua wewe,then bench kuna Pulisic ,Muller n.k
Odoi hapati namba kwa hao vijana maana nao damu zinachemka kwelikweli,
Na imagine ile mitaa ambayo jamaa anaongea ovyo hivi ni mitaa mingapi kajipiga ban.Tumekuzoea mzee wa kujipiga ban. 🤪🤪🤪