Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naona vistats vyenu vimeanza tena kama kile kipindi sarri na joginho wametua hapo darajani venye mlikuwa mnasumbua lkn mwisho wa siku mkaanza kulia lia humu . Sasa nawakumbusha tu hata yule masai kipind kapewa timu nyumbu waliishi maisha mnayoyaishi nyinyi kwa sasa hivyo bas msijisahau sana vijana wa chelwowo
Na hili nilishawaambia mapema...sasa hivi wataanza kumlilia hazard
 
Spurs wako kwenye wakati mgumu jamani, Hugo Iloris majeruhi mpaka mwaka mpya was 1920
Sawa,
Lakini unavyoona ile front line ya Bayern pale Odoi angecheza namba ya nani? Ikiwa Pulisic,Muller wanasugua?

Sijasema kuwa Odoi hana kipaji Ila kuna ile kitu kuzidiana uwezo

Na ukiangalia kijana bado mdogo na anahitaji muda mwingi wa kucheza ili kukuza kipaji na uwezo wake.....
Halo Chelsea ana uhakika wa kucheza na ndio maana anajisifu kwa maamuzi aliyochukua maana angeenda Bayern ingemcost sana.
Taja hao ambao wangemweka benchi Odoi na sio kupiga blaa blaa hapa
 
1920...hapo ndio vita ya kwanza ya dunia imeisha sio?? Inamaana llloris hatapigana vita??
Spurs wako kwenye wakati mgumu jamani, Hugo Iloris majeruhi mpaka mwaka mpya was 1920

Taja hao ambao wangemweka benchi Odoi na sio kupiga blaa blaa hapa
 
Spurs wako kwenye wakati mgumu jamani, Hugo Iloris majeruhi mpaka mwaka mpya was 1920

Taja hao ambao wangemweka benchi Odoi na sio kupiga blaa blaa hapa
Mkuu relax kwanza alafu uandike upya huo ni mwaka gani ambao Hugo Lloris atarudi?

Then ,soma tu vizuri nilichoandika kila kitu nimeweka kwa kurudia tu maana najua kuwa unaelewa polepole,

Pale bayern kuna Comman Kingslay na Serge Gnabry wamoto kuliko moto unaoujua wewe,then bench kuna Pulisic ,Muller n.k

Odoi hapati namba kwa hao vijana maana nao damu zinachemka kwelikweli,
 
Tunaangalia ushindi ..... Ukisema eti kashinda kwa tabu izo ni siasa
Ni maana ya kumuita mwenzako kuwa ni mchovu yaan choka mbaya c kwa sabab alfungwa magol mengi na chelsea na hoja ni kwamba kama soton n mchovu mbona lver nay alshndwa kumfung soton gol 4
 
Mti wenye MATUNDA mazuri hurushiwa mawe. Perfomance bora kabisa ya Chelsea kwa sasa lazima turushiwe mawe na wapinzani wetu.

CALM DOWN wanachelsea wenzangu.

LAMPARD = Kocha Bora
Wachezaji wetu wote ni BORA.

MWISHO WA MSIMU MAKOMBE MAPYA TUTAYAWEKA KABATINI.
Kwel kbx kiongoz ujakosea haswa haswa hawa mashabiki wa arsenal kuwa hapo kwny nafc ya 3 wanajion kama vle wameshachukua kombe yani n malmbuken ya mpr
 
Ni maana ya kumuita mwenzako kuwa ni mchovu yaan choka mbaya c kwa sabab alfungwa magol mengi na chelsea na hoja ni kwamba kama soton n mchovu mbona lver nay alshndwa kumfung soton gol 4
Liver hakwenda kutafuta goli nne alienda kutafuta ushindi.....
 
Umeulizwa swali rahisi unambwelambwela tu....

Wolvers 2 vs Chelsea 5

Man city 0 vs Wolvers 2

Man city ? Vs Chelsea ?

Chelsea ? vs Man city ?

Man utd 4 vs Chelsea 0

Man utd 1 vs Arsenal 1

Arsenal ? vs Chelsea ?

Je, matokeo ya hizo mechi yatakuwaje,ikiwa wewe ulimpiga wolvers 5 na wolvers kampiga city 2 ina maana chelsea itamfunga city goli 10 kwa maana yako,maana hapo city ni kibonde.....

Na kama pale Oldtraffod umebamizwa 4 na Arsenal wafalme wa London wamepata suluhu kwa maana hiyo game na Arsenal jiandae kupigwa 4 safi,

Yeeeees si ndio maana yako......

Mpira haupo hivyo,jifunze
Wewe ndio umeenda OP kabisa. Rudia kusoma alicho andika then uje uspitie maandishi yako
 
Naona vistats vyenu vimeanza tena kama kile kipindi sarri na joginho wametua hapo darajani venye mlikuwa mnasumbua lkn mwisho wa siku mkaanza kulia lia humu . Sasa nawakumbusha tu hata yule masai kipind kapewa timu nyumbu waliishi maisha mnayoyaishi nyinyi kwa sasa hivyo bas msijisahau sana vijana wa chelwowo
Haya mambo inabidi waambiwe Arsenal fan boys warekebishe midomo yao. Kutwa kupiga umbea majukwaa ya watu mwisho wa msimu hawabebi chochote wanatoka kapa.

Tena nahisi wanashukuru msimu huu Chelsea haipo EUROPA kwa hiyo wataonea madogo wenzao then waje kubwabwaja humu. [emoji23][emoji23]

We ulishaona wapi mpira unachezwa bila kupata takwimu. Hata vyuo kuna zile continuous assessment ndugu hujui wewe?
 
Mkuu relax kwanza alafu uandike upya huo ni mwaka gani ambao Hugo Lloris atarudi?

Then ,soma tu vizuri nilichoandika kila kitu nimeweka kwa kurudia tu maana najua kuwa unaelewa polepole,

Pale bayern kuna Comman Kingslay na Serge Gnabry wamoto kuliko moto unaoujua wewe,then bench kuna Pulisic ,Muller n.k

Odoi hapati namba kwa hao vijana maana nao damu zinachemka kwelikweli,
Wewe Bayern hakuna Pulisic kuna Perisic.
 
Haya mambo inabidi waambiwe Arsenal fan boys warekebishe midomo yao. Kutwa kupiga umbea majukwaa ya watu mwisho wa msimu hawabebi chochote wanatoka kapa.

Tena nahisi wanashukuru msimu huu Chelsea haipo EUROPA kwa hiyo wataonea madogo wenzao then waje kubwabwaja humu. [emoji23][emoji23]

We ulishaona wapi mpira unachezwa bila kupata takwimu. Hata vyuo kuna zile continuous assessment ndugu hujui wewe?
Mkuu wengine vyuo hatukufanikiwa kufika.

Yote kwa yote acheni tabia za kujibinafsisha nyuzi , maan inakuwa inatia ukakasi kua hata mpira mnashabikia vipi au mnaangalia vip huko mlipo na je mnaishi vp na wanasoka wengine kama tu mtu ukichallenjiwa kidogo kuhusu timu yako bas unajikuta unapaniki na kujifanya unamjaji aliekuchallenji as if unamjua sana (uzi huu ndo mnatabia hizo) . Kunahatua unatakiwa uwe mpenzi wa mpira na usiishie kuwa shabiki tu mkuu.
 
Ukiwa mwanaume kuwa na msimamo mwanzon ulisema unatupa mechi kumi tutakuwa nje ya kumi Bora, pia uksema wolves nae atatufunga tukashinda , yan most of time tabiri zako zinafeli still hujifunzi kuwa na akiba ya maneno ,mechi ya final ueropa ulipiga kelele kujisifia then ukapigwa ,unaendeshwa na hisia thus y all the time prediction zako zinafeli

Alisema hatuchomoki kwa Wolves, Lescister, Southampton.

Mimi namfananisha na mwanamke asiye na msimamo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom