mart66
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 610
- 691
Ukiwa mwanaume kuwa na msimamo mwanzon ulisema unatupa mechi kumi tutakuwa nje ya kumi Bora, pia uksema wolves nae atatufunga tukashinda , yan most of time tabiri zako zinafeli still hujifunzi kuwa na akiba ya maneno ,mechi ya final ueropa ulipiga kelele kujisifia then ukapigwa ,unaendeshwa na hisia thus y all the time prediction zako zinafeliNilisema Chelsea mtamaliza nafas ya 10-15
Hiyo nafas mliyokaa ni kwa muda tu,
Najua mtakuja kubisha ila ukweli mnaujua
Baada ya break , ndio mtaelewa namaanisha nini
View attachment 1226162
+ 4