Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,194
- 21,527
Kama mngeshinda tungeona zaidi ya haya. Siku hizi hakuna nyumbani wala ugenini unazabuliwa popote.Valencia wamewapiga kwenu
Sasa ngoja mje mpigiwe mpira wa kihuni wa Klopp
Kama mngeshinda tungeona zaidi ya haya. Siku hizi hakuna nyumbani wala ugenini unazabuliwa popote.Valencia wamewapiga kwenu
Sasa ngoja mje mpigiwe mpira wa kihuni wa Klopp
na ukichukua kwa miaka 100 Nottingham forest watakuwa juu zaidi ya chelseaIo ni kwa miaka mitano nyuma ukichukua miak Kum Chelsea Yuko juu kuliko arsenal
Eti Europa league,huko mtabaki peke yenu na Asernal yenu pamoja na swahiba wako Man U, pambafu Sana.Na msijidanganye kuwa mtaenda kupindua meza Spain...nyie ndo basi tena europa ligi inawaita
ulaya ulayaniWazee wa ulaya
kumbe ze blauz kuna magalasa?Analeta uingereza haiwezekani pulisic anasugua benchi unaingiza garasa
kwani bado mpo hai?Chelsea karibu timu A yote kasoro GK wako injury, kweli tutapona msimu huu?
aiseeeehKama mngeshinda tungeona zaidi ya haya. Siku hizi hakuna nyumbani wala ugenini unazabuliwa popote.
Barkley garsa kwetu ila akija Arsenal hakuna wa kumuweka bench hapo. take my wordskumbe ze blauz kuna magalasa?
tukizungumza kuhusu UEFA hakuna kitu unajua wewe na ka arsenal seriousless kaeni pembeni mambo ya wakubwa hayahapa nyie ze blauzi sijui blazia habari zenu tunazo
hahahhhahha usinichekeshe mkuu, pale Emirates atacheza namba ya nani huyu galasa wenu?Barkley garsa kwetu ila akija Arsenal hakuna wa kumuweka bench hapo. take my words
Hahaa ugali kumbe uli china, sasa wamepata tumbo la kuhara
Majirani kwani kuna nini kimetokea? Mgonjwa juzi si alitoka ICU na akala ugali kabisa?
huyo valencia ambaye wewe kakufanya vibaya hapo kwako mimi nilipiga in and out.....kubali kuwa wewe ni underCATtukizungumza kuhusu UEFA hakuna kitu unajua wewe na ka arsenal seriousless kaeni pembeni mambo ya wakubwa haya
Haya ndio maajabu tunaongelea mashindano mazito kabisa ulaya unaleta vituko tafuta pa kushika huku sio saizi yenu huku ni mabingwa wa ulaya, ukiwa arsenal mitazamo, maisha, akili inakuwa uselesskituko ni nini?
kituko ni kumcheka mbabe wa London kudroo alafu wewe unakuja kutobolewa tundu na valencia.
vituko havitoisha duniani
Ulimpiga mashindano gani ?unafunga team unajisifu halafu unaishia kufungwa final chuma 4, kuwa serious, Valencia katufunga sisi tulikukanda 4, tumia akili vizurihuyo valencia ambaye wewe kakufanya vibaya hapo kwako mimi nilipiga in and out.....kubali kuwa wewe ni underCAT