DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
wewe na valencia ni mabingwa wa nini?hahahahahahaha nimecheka sanaHaya ndio maajabu tunaongelea mashindano mazito kabisa ulaya unaleta vituko tafuta pa kushika huku sio saizi yenu huku ni mabingwa wa ulaya, ukiwa arsenal mitazamo, maisha, akili inakuwa useless
